kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,788
- 5,027
Leo kipindi natoka zangu Church nimekutana na dada mmoja njiani alikuwa hajui wapi ameweka simu yake akaniomba simu ili ajipigiye.
Nikampa kwa amani kabisa kwa bahati nzuri akapiga simu yake ikaita na akajua wapi ndo alikuwa ameweka simu maana alifikiri labda vijana wameshafanya yao basi tukaachana mimi nikaondoka zangu.
Kufika hii jioni amenitumia sms ya kunitukana bila kosa
Dunia ina maajabu yake
Nikampa kwa amani kabisa kwa bahati nzuri akapiga simu yake ikaita na akajua wapi ndo alikuwa ameweka simu maana alifikiri labda vijana wameshafanya yao basi tukaachana mimi nikaondoka zangu.
Kufika hii jioni amenitumia sms ya kunitukana bila kosa
Dunia ina maajabu yake
