kifimbocheza_
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 1,119
- 1,095
Ebu nipe historia kidogo kuhus iyo vita kama hutojali lknVita ya 1967 ile ya siku 7 waisrael walikuwa peke yao lakini wapalestina ndio walisaidiwa na mataifa mengi ya kiarabu na kiislam! Lakini waarabu walichapwa! Hiyo haina ubishi!