Dunia hii vilaza ndo wanafanikiwa, wenye akili wanaishia kufa kwa stress

Mkungunero

JF-Expert Member
Aug 13, 2023
408
568
Hebu angalia teuzi nyingi za siasa hapa tanzania wengi wamesoma masomo ya Sanaa i.e hgj, hgl, hgk nk.

Nakumbuka wakati tupo secondari ikionekana unsoma masomo hayo kila mtu anakudharu na unaonrkana booonge la kilza.

Tuliyokuwa tunaonekana na kila mtu anatuheshimu na kitupigia salute ni wale vipanga wa Physics, Chemistry, Biology, Mathematics nk.

Sasa Hao wote wa sayansi ni stress tu wametwlekezwa as if walifanya makosa sana kuwa na akili.

Angalia akina Gerson msigw na akina Dr Abasi Ayoub Ryoba au palamagamba wote Hao walisoma kiswahili tu lakini wanatesa kwa pesa.

Hii nchi haiwezi kuendelea kamwe. Mareakani watu wenye akili wanapewa kipau mbele na wako kwenye position ya kuwa billionaires kama Elon musk aliyesoma physics na economics chuo kikuu.

Angalau kidogo kitila mkumbo alisoma masomo magumu i.e PCB japo alikosea kernd akusomea ualimu mana ualimu siyo proffesion every body can teach.
 
The world doesn't owe you anything. If you want something, go out there and get it. Huuo Elon Musk hakupewa utajiri na serikali, alipambana akashinda mechi zake!

NB: nyinyi watu wa PCM na PCB si ndio mlikua mnajitapa skuli kwamba nyie sio wanasiasa? Kaeni kwa kutulia. Acha akina Nape na division four zao watuamulie nchi iende vipi.
 
Asilimia kubwa ya WASOMI wetu hapa Tanzania hasa hao wa michepuo ya SAYANSI wengi akili zao ni kisoda.

Hasa ktk nyanja ya IT ni visoda haswa.

Nashangaa MSOMI wa IT anaenda front kuomba kazi? Serious? Mtu ana DEGREE kabisa ya Telecommunications Engineering ila anaomba kazi.

Ukishakuwa na watu wa aina hii ujue kabisa unakundi la watu VISODA.
 
Mkuu mkungunero umejisifia na kujitia ndani ya kundi la wenye akili kwa kule kufaulu masomo ya sekondari ya kukariri physics, bios na chemia ila ajabu katika andiko lako ukamtaja kabudi ni wazi wewe ni zao bovu la elimu mbovu yenye mtaala mbovu ya kitanzania, ungetuambia ulipo sasa badala ya kushambulia Majina na nafasi za watu, hata hivyo hujasema katika ile orodha ya waliopigania uhuru wa iliyokuwa Tanganyika au kabla Germany estafrica walikuwa wazuri wa masomo yapi? Na ni kwanini, haya tuletee bidhaa yoyote iliyoko sokoni uliozalisha au nawewe ni sawa na hao wa Kiswahili na Hgl.
 
Mkuu mkungunero umejisifia na kujitia ndani ya kundi la wenye akili kwa kule kufaulu masomo ya sekondari ya kukariri physics, bios na chemia ila ajabu katika andiko lako ukamtaja kabudi ni wazi wewe ni zao bovu la elimu mbovu yenye mtaala mbovu ya kitanzania, ungetuambia ulipo sasa badala ya kushambulia Majina na nafasi za watu, hata hivyo hujasema katika ile orodha ya waliopigania uhuru wa iliyokuwa Tanganyika au kabla Germany estafrica walikuwa wazuri wa masomo yapi? Na ni kwanini, haya tuletee bidhaa yoyote iliyoko sokoni uliozalisha au nawewe ni sawa na hao wa Kiswahili na Hgl
Wengi waliopigania uhuru hawakusoma kabisa au waliishia lanne la mkoloni.
 
Back
Top Bottom