Dunia haina usawa

Acha tu napenda hizi mambo sana hapa mpaka kieleweke.
nakuona siku nitakapoanza kukupa arosto nitaijua rangi yako halaf huyo mtoto kwa avatar mmefanana anaonekana nunda kama wewe
 
nakuona siku nitakapoanza kukupa arosto nitaijua rangi yako halaf huyo mtoto kwa avatar mmefanana anaonekana nunda kama wewe
sasa hapo kwenye arosto tuheshimiane kabisa,hizi hadithi zinapunguza maumivu ya jua. Mimi Nunda kuzidi huyo dogo
 
sasa hapo kwenye arosto tuheshimiane kabisa,hizi hadithi zinapunguza maumivu ya jua. Mimi Nunda kuzidi huyo dogo
Na hii story nahisi badae itakuwa na arosto shigongo mwenyewe bado hajaimalizia ila mtanisamehe tu jamani kamoja tu
kwahiyo umemzidi ununda huyo mtoto wako
 
Na hii story nahisi badae itakuwa na arosto shigongo mwenyewe bado hajaimalizia ila mtanisamehe tu jamani kamoja tu
kwahiyo umemzidi ununda huyo mtoto wako
Mmmh! Utaharibu CV yako usipoimaliza hii kwa kweli. Hahahahah! Ununda wangu umepita kipimo kabisaa
 
Asanteeeeeee kipenzi
Nipo busy sweetie, naomba uwe unani tag ili ninapotulia niwe napitia story zako. halafu mimi peke yangu ndio uniite majina hayo baby. nafurahi kwa sababu hua unatoa story unamaliza sio wengine mara oooh, nenda kwenye web kuna muendelezo. Nakupenda mpaka nahisi nijipeleke mirembe
 
Mmmh! Utaharibu CV yako usipoimaliza hii kwa kweli. Hahahahah! Ununda wangu umepita kipimo kabisaa
Siwezi kuharibu cv kwa story moja jamani kwahiyo ununda wako kama ule wa panya road eenh
 
Mkuu we subscribe tu huu uzi nakuitaje baby na we sio baby wangu me ni mke wa mtu jamani
 
Siwezi kuharibu cv kwa story moja jamani kwahiyo ununda wako kama ule wa panya road eenh
Ohooo!! Panya road hapana wale wamezidi mimi Nunda ukiingia kwenye site zangu tu, kwingine mpole sana
 
Mkuu we subscribe tu huu uzi nakuitaje baby na we sio baby wangu me ni mke wa mtu jamani
Basi unidanganye tu kuniita, ili roho yangu itulie. halafu huyu jamaa huyu alitumia mbinu gani kukumiliki ? I am feeling dizzy
 
Namsoma bwana Mapoto namuona rais wangu Lowassa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…