Dunia haina huruma


Mh! We una hatari kweli!! Yaani umeona njia ya vumbi ni salama kupiga mguu peku kuliko mbele?! Au ndo ulikuwa unaogopa kumtandika mimba mengine kila la heri?! Ushapima kale ka ugonjwa ka kileo?! Mimba inawezekana ni yako, Pengine maziwa uliyomimina njia ya vumbi mengine yalitoka yakagusa njia kuu!
 
Heeeee... Hii thread imenifanya nipate misamiat mipya.. Uani na seblen.
 

mkuu alikuwa anatafuta virusi huyu akili amuna hapa hatuna mtu tushampoteza. ajui ata kati ya uani na sebuleni wapi rahisi kutobolewa na chupa linajieendea tu .
 

Pole sana Mkuu, ushauri wangu nakusihi ukomae tu.
 
[hi MMU MEMBERS
heshima mbele dharau takoni]
Sorry unamaana ya???
 
Hongera bwana, watu wanatafuta watoto kila siku wanatangaza hapa JF na wewe umempata hapahapa bila matangazo, na huyo mtoto akizaliwa inabidi utuambie tukuchagulie jina. Funga ndoa lea mimba kitanda hakizai haramu
 

Bi dada punguza hasira, Mungu ameweka hawa ili tuwasamehe na mwisho tufike kwake. Wote hawa wawili vimeo tu, hamna wazazi hapo!
 
Eeebwanaee hapo kuna ukweli lakini ziswim kutoka uwani mpaka sebuleni?
Cc : watu8
 
Last edited by a moderator:
demu kaja na mimba anadai yangu wakat cjawai kwenda nae kavu hata cku moja kama n peku peku basi uani tu na nakumbuka ruti za uani zilikua nyingi kuliko seblen dem kadata anadai mimba yangu

Wapumbafu hawataisha duniani
Ndio sababu hadi leo watu wanaibiwa kwa kanyaboya na mdudu.
Wapumbafu huogopa MIMBA kuliko VVU UKIMWI (HIV-AIDS)
Mimba kwao ni janga;
Ukimwi ni sifa;
Naam sifa ya kuonesha kuwa u Kidume/Kijike.
Kwani nzi kufia kidondani ni ajabu?


mwungwana;
Hongera kwa kuzibua mitaro ya maji machafu bila gloves
Hivi wewe ni mwajiriwa wa DAWASCO au mjasiaramali
Mjasiriamali wa kuzibua na kutapisha vyoo vya uswahilini.
Hakuna haja ya kujali usalama wa maisha yako
Maisha ya nini ilhali unapata MNATO wa tiGO,
tiGO mtandao wa Wajanja.

Ndimi Bazazi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…