Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,937
- 1,192
Ni kisa kilichosimuliwa vizuri na kwa ubunifu mkubwa na mwanadada ajulikanaye kwa jina la BAHATI BUKUKU.
Ni kibao kilichopigwa kwa hadhi ya kama charanga fulani,kina ujumbe ambao kwa dunia ya leo ni elimu tosha.
Kama hujapata bahati ya kuusikiliza,ukipata nafasi hiyo itumie vizuri then uje utuambie umejifunza kipi toka katika wimbo huo!
Ni kisa kilichosimuliwa vizuri na kwa ubunifu mkubwa na mwanadada ajulikanaye kwa jina la BAHATI BUKUKU.
Ni kibao kilichopigwa kwa hadhi ya kama charanga fulani,kina ujumbe ambao kwa dunia ya leo ni elimu tosha.
Kama hujapata bahati ya kuusikiliza,ukipata nafasi hiyo itumie vizuri then uje utuambie umejifunza kipi toka katika wimbo huo!
Naomba kutofautiana nawe kidogo kuhusu huu wimbo:
1 - Japo nyimbo nyingi si visa vya ukweli, lakini huu wimbo kisa chake kiko mbali sana na ukweli kuliko visa vyote ambavyo nimewahi kuvisikia (atleast me personally). Labda nitoe mifano michache...si kitu kinachokaribiana na ukweli kuwa Daktari akatae kumpa matibabu mgonjwa wako (tene emergence case ICU) mpaka umhonge 'ngono', hiyo iko mbali kabisa na ukweli...kisha hongo hiyo ya ngono ifanyike bila protection (condom)...kisha hongo hiyo ya ngono izae mtoto.
2 - Ukisikiliza nyimbo nyingi za Bahati Bukuku, solution zake zinakuwaga extreme..nikimaanisha, kwa mfano...kuna familia nyingi wanaume wanalea watoto wasio wao (rejea utafiti uliofanywa na ofisi ya mkemia mkuu wa serikali kupitia vinasaba au DNA test), lakini solution haijawahi kuwa kikao cha familia nzima iamue 'mtoto auawe, tena kwa mapanga'...kisa tu mama amezaa mtoto huyo nje ya ndoa.
Nakubalina nawe kuwa Bahati Bukuku ni mwimbaji mwenye kipaji sana na sauti nzuri, lakini I cant help to think that...amejificha kwenye mwamvuli wa 'nyimbo za Injili' (labda kwa sababu ya soko) lakini anaimba nyimbo za kiDunia sana kuliko za kiInjili..
NB: Ni mtazamo wangu tu nikiwa kama shabiki na msikilizaji mkubwa wa nyimbo za Injili toka kwa waimbaji tofauti.
Naomba kutofautiana nawe kidogo kuhusu huu wimbo:
1 - Japo nyimbo nyingi si visa vya ukweli, lakini huu wimbo kisa chake kiko mbali sana na ukweli kuliko visa vyote ambavyo nimewahi kuvisikia (atleast me personally). Labda nitoe mifano michache...si kitu kinachokaribiana na ukweli kuwa Daktari akatae kumpa matibabu mgonjwa wako (tene emergence case ICU) mpaka umhonge 'ngono', hiyo iko mbali kabisa na ukweli...kisha hongo hiyo ya ngono ifanyike bila protection (condom)...kisha hongo hiyo ya ngono izae mtoto.
2 - Ukisikiliza nyimbo nyingi za Bahati Bukuku, solution zake zinakuwaga extreme..nikimaanisha, kwa mfano...kuna familia nyingi wanaume wanalea watoto wasio wao (rejea utafiti uliofanywa na ofisi ya mkemia mkuu wa serikali kupitia vinasaba au DNA test), lakini solution haijawahi kuwa kikao cha familia nzima iamue 'mtoto auawe, tena kwa mapanga'...kisa tu mama amezaa mtoto huyo nje ya ndoa.
Nakubalina nawe kuwa Bahati Bukuku ni mwimbaji mwenye kipaji sana na sauti nzuri, lakini I cant help to think that...amejificha kwenye mwamvuli wa 'nyimbo za Injili' (labda kwa sababu ya soko) lakini anaimba nyimbo za kiDunia sana kuliko za kiInjili..
NB: Ni mtazamo wangu tu nikiwa kama shabiki na msikilizaji mkubwa wa nyimbo za Injili toka kwa waimbaji tofauti.
Naomba kutofautiana nawe kidogo kuhusu huu wimbo:
1 - Japo nyimbo nyingi si visa vya ukweli, lakini huu wimbo kisa chake kiko mbali sana na ukweli kuliko visa vyote ambavyo nimewahi kuvisikia (atleast me personally). Labda nitoe mifano michache...si kitu kinachokaribiana na ukweli kuwa Daktari akatae kumpa matibabu mgonjwa wako (tene emergence case ICU) mpaka umhonge 'ngono', hiyo iko mbali kabisa na ukweli...kisha hongo hiyo ya ngono ifanyike bila protection (condom)...kisha hongo hiyo ya ngono izae mtoto.
2 - Ukisikiliza nyimbo nyingi za Bahati Bukuku, solution zake zinakuwaga extreme..nikimaanisha, kwa mfano...kuna familia nyingi wanaume wanalea watoto wasio wao (rejea utafiti uliofanywa na ofisi ya mkemia mkuu wa serikali kupitia vinasaba au DNA test), lakini solution haijawahi kuwa kikao cha familia nzima iamue 'mtoto auawe, tena kwa mapanga'...kisa tu mama amezaa mtoto huyo nje ya ndoa.
Nakubalina nawe kuwa Bahati Bukuku ni mwimbaji mwenye kipaji sana na sauti nzuri, lakini I cant help to think that...amejificha kwenye mwamvuli wa 'nyimbo za Injili' (labda kwa sababu ya soko) lakini anaimba nyimbo za kiDunia sana kuliko za kiInjili..
NB: Ni mtazamo wangu tu nikiwa kama shabiki na msikilizaji mkubwa wa nyimbo za Injili toka kwa waimbaji tofauti.
Wimbo mzuri ila SIYO wa Mungu kwani hauna tofauti na nyimbo za kidunia eg "ZUWENA NITAMPATA WAPI".Bahati yupo kibiashara zaidi.
Umemaliza kabisa. Mengi aliyoyaimba katika wimbo huu ni ya kufikirika katika nadharia tu.
Ni kisa kilichosimuliwa vizuri na kwa ubunifu mkubwa na mwanadada ajulikanaye kwa jina la BAHATI BUKUKU.
Ni kibao kilichopigwa kwa hadhi ya kama charanga fulani,kina ujumbe ambao kwa dunia ya leo ni elimu tosha.
Kama hujapata bahati ya kuusikiliza,ukipata nafasi hiyo itumie vizuri then uje utuambie umejifunza kipi toka katika wimbo huo!