Duni Haji amefutiwa uanachama wa CUF Zanzibar

Duni Haji amefutiwa uanachama wa CUF Zanzibar

Naface

Member
Joined
May 27, 2015
Posts
66
Reaction score
65
Katika hali ambayo Maalim Self Hamad ameona umaarufu wa Babu Haji Duni unakuwa mkubwa na anaweza kuwa rais wa Zanzibar 2020, Maalim akampangia njama za kummaliza kisiasa na kumshauri ajiunge na CHADEMA ili apewe nafasi ya kuwa mgombea mwenza.

Baada ya kujiunga CHADEMA Duni haji amefutiwa uanachama wa CUF Zanzibar na ameanza kunyong'onyeshwa ili kupotea kwenye ramani ya kisiasa na kutokuwa mwiba tena upande wa Zanzibar na siasa za CUF.

Kinachoendelea ndani ya muungano hewa wa UKAWA kwa sasa baada ya Duni kuona kuwa hawawezi kushinda analazimisha kurudishwa ndani ya CUF na Maalim Self Hamad amekataa na kumwonya kuwa alijiondoa mwenyewe.

Mvutano huo umesababa kudorola kampeni ndani ya UKAWA hasa kwa upande wa wa makamu wa rais.Hali inayosababisha watu kuona usanii huu ni kwa ajili ya maslahi ya watu wachache.

#watanzaniatujitathimini
,tusikosee.
 
Ma CCM Mmebanwa kila angle.
Iko hivi.

Hata Lowassa aache kupiga Kampeni ajifungie kwake bado tutamchagua
Lowassa akijitoa na akawekwa Kuku kuchuana na Magufuli bado tutamchagua Kuku
Leo hii Lowassa akijitokeza kumpigia Kampeni Magufuli bado tutamchagua yeye
Babu Duni akiamua kupumzika Zanzibar na kuacha kupiga Kampeni bado tutamchagua Lowassa na hatimaye,automatic Babu Duni atakuwa Makamu wa Raisi.

Mabadilikoooooooooooooooooo......Lowassaaaaaaaaaaa,Lowassaaaaaaaaaaa.... Mabadiliko.

Peoplessssssssssssssssssssssssssssssss

Kuna watakuja kujibu Pawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Kijana/mzee rais siyo duni haji, ni lowassa, kwahiyo hata kama akitoka anayepigiwa kura ni lowassa.
 
Kwani Makamo wa Rais Muungano na Rais wa Zanzibar kipi cheo kikubwa!?
 
Tanzania Rais Wetu Ni Lowassa
Bila Kujari Anaumwa Nini? Kura Tutampa Yaani Kwa Kifupi Sana Ni Kuwa Zanzibar Tutampa Maalim Seif Bila Kujari Lolote.

Ukikutana Na Ccm Inagombana Na Nyoka Porini
Msaidie Nyoka Ili Kuiuwa Ccm Maana Mbele Ya Safari Najua Nyoka Atakusaidia Siyo Ccm.
 
Mlitangaza Duni ajitoa UKAWA, sasa mbona mnarudi nyuma? inaonekana kama bado hajajitoa, Ndorooooooooooooooobo wewe, 25 oct mwisho wa Porojo
 
Safi sana nimeipenda hii, lowasa juuuuuuu!!! Ni kheri kuchagua kuku iwe rais kuliko kuchagua magufuli na zimwi lake liccm.
 
Katika hali ambayo Maalim Self Hamad ameona umaarufu wa Babu Haji Duni unakuwa mkubwa na anaweza kuwa rais wa Zanzibar 2020, Maalim akampangia njama za kummaliza kisiasa na kumshauri ajiunge na CHADEMA ili apewe nafasi ya kuwa mgombea mwenza. Baada ya kujiunga CHADEMA Duni haji amefutiwa uanachama wa CUF Zanzibar na ameanza kunyong'onyeshwa ili kupotea kwenye ramani ya kisiasa na kutokuwa mwiba tena upande wa Zanzibar na siasa za CUF.

Kinachoendelea ndani ya muungano hewa wa UKAWA kwa sasa baada ya Duni kuona kuwa hawawezi kushinda analazimisha kurudishwa ndani ya CUF na Maalim Self Hamad amekataa na kumwonya kuwa alijiondoa mwenyewe.mvutano huo umesababa kudorola kampeni ndani ya UKAWA hasa kwa upande wa wa makamu wa rais.Hali inayosababisha watu kuona usanii huu ni kwa ajili ya maslahi ya watu wachache.

#watanzaniatujitathimini
,tusikosee.
wenye akili wamekuelewa ila wapumbavu na malofa watakupinga na kukuona hujui ila mwisho wa siku watayaona haya unyo yanzungumza ni kweli
 
Kwahiyo angekuwa mwanachama wa chadema na cuf kwa wakati mmoja..wazazi wako walipoteza hela ya ada
 
Katika hali ambayo Maalim Self Hamad ameona umaarufu wa Babu Haji Duni unakuwa mkubwa na anaweza kuwa rais wa Zanzibar 2020, Maalim akampangia njama za kummaliza kisiasa na kumshauri ajiunge na CHADEMA ili apewe nafasi ya kuwa mgombea mwenza. Baada ya kujiunga CHADEMA Duni haji amefutiwa uanachama wa CUF Zanzibar na ameanza kunyong'onyeshwa ili kupotea kwenye ramani ya kisiasa na kutokuwa mwiba tena upande wa Zanzibar na siasa za CUF.

Kinachoendelea ndani ya muungano hewa wa UKAWA kwa sasa baada ya Duni kuona kuwa hawawezi kushinda analazimisha kurudishwa ndani ya CUF na Maalim Self Hamad amekataa na kumwonya kuwa alijiondoa mwenyewe.mvutano huo umesababa kudorola kampeni ndani ya UKAWA hasa kwa upande wa wa makamu wa rais.Hali inayosababisha watu kuona usanii huu ni kwa ajili ya maslahi ya watu wachache.

#watanzaniatujitathimini
,tusikosee.

Akili mata.ko, akili matope, akili makamasi, akili majanam!! Maalim Seif hana akili fupi kiasi hicho! Mwaka huu mpaka mwombepooooo!!!!
 
Back
Top Bottom