Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 17,253
- 20,009
Babu Duni anatakiwa kutoroka
Itabidi umchunge sana mamako vinginevyo atatoroka na Duni Haji!!
Babu Duni anatakiwa kutoroka
Tanzania Rais Wetu Ni Lowassa
Bila Kujari Anaumwa Nini? Kura Tutampa Yaani Kwa Kifupi Sana Ni Kuwa Zanzibar Tutampa Maalim Seif Bila Kujari Lolote.
Ukikutana Na Ccm Inagombana Na Nyoka Porini
Msaidie Nyoka Ili Kuiuwa Ccm Maana Mbele Ya Safari Najua Nyoka Atakusaidia Siyo Ccm.
katika hali ambayo maalim self hamad ameona umaarufu wa babu haji duni unakuwa mkubwa na anaweza kuwa rais wa zanzibar 2020, maalim akampangia njama za kummaliza kisiasa na kumshauri ajiunge na chadema ili apewe nafasi ya kuwa mgombea mwenza. Baada ya kujiunga chadema duni haji amefutiwa uanachama wa cuf zanzibar na ameanza kunyong'onyeshwa ili kupotea kwenye ramani ya kisiasa na kutokuwa mwiba tena upande wa zanzibar na siasa za cuf.
Kinachoendelea ndani ya muungano hewa wa ukawa kwa sasa baada ya duni kuona kuwa hawawezi kushinda analazimisha kurudishwa ndani ya cuf na maalim self hamad amekataa na kumwonya kuwa alijiondoa mwenyewe.mvutano huo umesababa kudorola kampeni ndani ya ukawa hasa kwa upande wa wa makamu wa rais.hali inayosababisha watu kuona usanii huu ni kwa ajili ya maslahi ya watu wachache.
#watanzaniatujitathimini ,tusikosee.
Yaani CCM akili zenu hata samaki wana akili kubwa kuliko nyie
siku hizi hadi wanaume nao ni wambea
babu duni anatakiwa kutoroka
wenye akili wamekuelewa ila wapumbavu na malofa watakupinga na kukuona hujui ila mwisho wa siku watayaona haya unyo yanzungumza ni kweli
Katika hali ambayo Maalim Self Hamad ameona umaarufu wa Babu Haji Duni unakuwa mkubwa na anaweza kuwa rais wa Zanzibar 2020, Maalim akampangia njama za kummaliza kisiasa na kumshauri ajiunge na CHADEMA ili apewe nafasi ya kuwa mgombea mwenza. Baada ya kujiunga CHADEMA Duni haji amefutiwa uanachama wa CUF Zanzibar na ameanza kunyong'onyeshwa ili kupotea kwenye ramani ya kisiasa na kutokuwa mwiba tena upande wa Zanzibar na siasa za CUF.
Kinachoendelea ndani ya muungano hewa wa UKAWA kwa sasa baada ya Duni kuona kuwa hawawezi kushinda analazimisha kurudishwa ndani ya CUF na Maalim Self Hamad amekataa na kumwonya kuwa alijiondoa mwenyewe.mvutano huo umesababa kudorola kampeni ndani ya UKAWA hasa kwa upande wa wa makamu wa rais.Hali inayosababisha watu kuona usanii huu ni kwa ajili ya maslahi ya watu wachache.
#watanzaniatujitathimini ,tusikosee.
ila kura za kuku hazitatosha kwenda ikulu si unajua mpaka zitoshe?Ma CCM Mmebanwa kila angle.
Iko hivi.
Hata Lowassa aache kupiga Kampeni ajifungie kwake bado tutamchagua
Lowassa akijitoa na akawekwa Kuku kuchuana na Magufuli bado tutamchagua Kuku
Leo hii Lowassa akijitokeza kumpigia Kampeni Magufuli bado tutamchagua yeye
Babu Duni akiamua kupumzika Zanzibar na kuacha kupiga Kampeni bado tutamchagua Lowassa na hatimaye,automatic Babu Duni atakuwa Makamu wa Raisi.
Mabadilikoooooooooooooooooo......Lowassaaaaaaaaaaa,Lowassaaaaaaaaaaa.... Mabadiliko.
Peoplessssssssssssssssssssssssssssssss
Kuna watakuja kujibu Pawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa