Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,806
Mwanamke na uongozi ni vitu viwili ambavyo haviendani
We ni mjinga tu, alitupandishia bei ya mafuta,sukari na sembe ni fashisti mwenyewe, iweje leo useme ni MamaKwa style tunayoenda nayo Magufuli lazma akumbukwe bila kupenda.
1. Tozo
2. Bei ya vitu kupaa
3. Serikali haina kauli 1 tena.
4. Wakazi wa Dodoma
5. Wenyeji wa Chato
Yaani mwanaume mwanaume tu. Wengi tulimchukia sana Magufuli lakini hata kama hatokumbukwa lakini kimoyo moyo lazma umkumbuke.
Ile hali ya JK imesharudi rasmi ndani ya utawala.
- Toka serikali iliposema inafatilia mambo ya tozo hakuna mrejesho mpaka leo.
- Toka tume ya kuchunguza kuungua kwa soko la Kariakoo hatujapata mrejesho wa tume hiyo na siku za nyongeza 7 walizopewa sasa tupo zaidi ya 21 hakuna wa kuuliza watu wako bize kusafiri tu.
Kweli sikumpenda JPM ila namkumbuka tu sio kama napenda ila nalazimika kumkumbuka.
Tunapenda sana kuwa wazalendo na hakika ni nia ya kila mtanzania kulipa kodi kwa mujibu wa sheria zinazohusu kodi.Lipa Kodi kwa maendeleo ya nchi yako,pesa inayopatikana kupitia shughuli hizo za bishara baadae utaona maji, umeme,nk
Tuwe wazalendo ndugu zangu.
🤣🤣Ukiwa na kadi ya CCM dumu 55000/=
Nadhan CCM hawaumii n hii Bei bila Shaka
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Usiseme tz tu sema nchi nyingi zinazojua nini maana ya maendeleo walimpenda sana. Bora umesema wewe, ningesema mimi ningetukanwa kila tusi.hivi unauhakika wengi walimchukia JPM? wakati akifanya ziara mikoani ilikuwa ukiangalia, au mikutano yake. msiba wake uliona watu pamoja na viongozi waliomzika. TZ hakuna rais aliependwa kama JPM
Ni kweli kabisa tunasubiria LC300 soon mtaziona mtaani!ni muhimu watawala wetu WALE VIZURI, WATEMBEELEEE MA V 8, WATIBIWE VIZURI WAO NA FAMILIA ZAO IKIBIDI WAENDE INDIA NA KULALA 5 STAR HOTELS HUKU WAKITIBIWA, WAISHI VIZURI ili waweze kutuletea maendeleo tusilalamike sana ..LAZIMA TUUMIE ILI NCHI IENDELEEE
Kwasasa sh ngapi?Usitukumbushe yaliyopita. Utawala wa magufuli mfuko wa cement hapa dar tulikua tunauziwa elfu 18 acha kabisa
Mafuta ya kupikia yamefika 90,000/- ..!!! Mrejesho wa hela zilizotoka BoT kati ya Januari hadi Machi 2021 kimyaaa..!!We ni mjinga tu, alitupandishia bei ya mafuta,sukari na sembe ni fashisti mwenyewe, iweje leo useme ni Mama