Dume zima na hirizi kiunoni

Dume zima na hirizi kiunoni

Vipi mbona joto hasira kaka??asa umalaya wake hapo uko wapi?em shusha presha kwanza kidogo
Duh! Ukome kufanya umalaya,tatizo lenu mademu wa town huwa mnajifanya mnajua sana ku sort,lakini siku zote mnaambulia maumivu tu,nyambaf zenu!
 
Nimechekaje..... lol!
Dah! ahsante kwa kuniongezea siku za kuishi, nimecheka kwa sauti hadi mwenzangu hapa ananishangaaa


Umezidi harakati na bado ipo siku utakutana na mtu ana mkia kama nyau.
 
laiti watu wote wangejua hivyo vichanganyio vya kutengeza hiyo mijidude (hirizi) kuna wengine wasingependa hata kusikia jina la hirizi kwa kuwa ni uchafu haifai kunena.
mungu atuepushe!.
 
nbunye kwa tafsiri ya juu ni moja ya sehemu nyeti kabisa za heshima za mwanamke!!kwani ukikutana nae huoni /huhisi aibu kidogo kama umeshampa sukari guru?

aah wapi tena namdharau utajikuta mwanaume ndo unajiuliza hivi huyu demu yukoje na unaweza omba kurudi tena ,,,,, hiyo wala hainipi shida kabisa maisha mafupi bwana haya raha jipe mwenyewe
 
Pumbafu sana we ulishajitoa kafara name usirudie kuleta upumbafu wako humu humu kuna watu wa hekima .
 
Nazjaz waweza kuta hiyo ndo ilikuwa booster ili game lisonge, au haupo dar uzunguke uone mabango yalivyojaa huku kwetu uswahilini. Ila Jamaa inainekana ana imani kali sana aisee.
 
Last edited by a moderator:
Halafu wanafanya na hao kina dada ati....anyway ndio tulivyo tusameheane

hapo ndipo napo shindwa waelewa kufanya nafanya mna mwanaume ila yeye akija hapa atapewa hongera .... akifanya dada ni malaya ... utafikiria huo umalaya alifanya na mbuzi....wajinga kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom