Dume la mbegu lafanya kweli-CUF

Dume la mbegu lafanya kweli-CUF

Mwiba

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
7,607
Reaction score
1,760
Wakongwe wa siasa za maji marefu CUF wamelitibua tena jeshi la polisi na kuhakikisha wamefanya kile walichokusudia kwa amani huku wakiwachezesha polisi kifura.

Polisi ambao walionekana kupania na kulinda kila kona walikuwa kila wanapotahamaki wanajiona wamechwa kwenye mataa ,mwisho walisikia habari kutoka kwa wasamaria wema kuwa CUF wameshatinga kwenye wizara na kuwasilisha rasimu sifuri ya Katiba.

Sasa wanangangari hao ambao wanajulikana kama dume la mbegu kwa sababu ya kutoa wanasiasa mashuhuri kwenda kwenye vyama vingine kama akina Shaibu Akwilombe,Wilfred Lwakatare Tambwe Hiza ,Jidawi na wengineo ambao wamepata umaarufu wa ksisiasa kupitia chama hicho cha CUF.

Msemaji wa CUF amesema sasa wametoa tena mbegu hiyo ya kufanya maandamano na vyama vingine viwache stori stori nyingi na blah blah ,viingie barabarani kwa salama na amani bila ya kuleta vurugu kwani maandamano ya amani yaliyofanywa na CUF hakukutokea malalamiko yoyote ya uharibifu au uvunjifu wa amani,ila kukurukakara ndogo tu ya kufurahishana na polisi ,jambo ambalo wanauzoefu nalo na wanalifanya kwa ustadi mkubwa kabisa.Hii ni mara ya tatu kwa wanangangari hao au kwa jina lingine wekundu wa Tanzania kufanya maandamano na kufikia lengo lao.
 
Wakongwe wa siasa za maji marefu CUF wamelitibua tena jeshi la polisi na kuhakikisha wamefanya kile walichokusudia kwa amani huku wakiwachezesha polisi kifura.

Polisi ambao walionekana kupania na kulinda kila kona walikuwa kila wanapotahamaki wanajiona wamechwa kwenye mataa ,mwisho walisikia habari kutoka kwa wasamaria wema kuwa CUF wameshatinga kwenye wizara na kuwasilisha rasimu sifuri ya Katiba.

Sasa wanangangari hao ambao wanajulikana kama dume la mbegu kwa sababu ya kutoa wanasiasa mashuhuri kwenda kwenye vyama vingine kama akina Shaibu Akwilombe,Wilfred Lwakatare Tambwe Hiza ,Jidawi na wengineo ambao wamepata umaarufu wa ksisiasa kupitia chama hicho cha CUF.

Msemaji wa CUF amesema sasa wametoa tena mbegu hiyo ya kufanya maandamano na vyama vingine viwache stori stori nyingi na blah blah ,viingie barabarani kwa salama na amani bila ya kuleta vurugu kwani maandamano ya amani yaliyofanywa na CUF hakukutokea malalamiko yoyote ya uharibifu au uvunjifu wa amani,ila kukurukakara ndogo tu ya kufurahishana na polisi ,jambo ambalo wanauzoefu nalo na wanalifanya kwa ustadi mkubwa kabisa.Hii ni mara ya tatu kwa wanangangari hao au kwa jina lingine wekundu wa Tanzania kufanya maandamano na kufikia lengo lao.

Jike la mbegu linaboa hapa JF
 
Hiyo rasimu 0 iko wapi wandugu? Huyo mbuzi mtoeni kwenye gunia ili tumuone badala ya kufichaficha mambo!
 
Kulikuwa na haja kweli ya kuandamana mkuu?

Kama nikukabidhi rasimu si mngeomba appointment na Waziri viongozi wakaenda ofisini bila rabsha

Baadaye mkawaita media?

Mnapenda kujitangaza kwa mapambano badala ya kwa busara ...sijawakubali bado!
 
Kuandamana ilikuwa njia nzuri ya ku-test authorities kwa nini wanazuia watu kuandamana? Wanazuia ili iweje? Hata hivyo kama lengo lilikuwa kuwasilisha hiyo rasimu, basi what they did only amounts to party self-end. Let every man be respected as an individual and no man idolized as they want us to.

 
Kuna tetesi kuwa hayo yaliyotokea jana kati ya cuf na polisi ulikuwa ni mchezo wa kuigiza uliolenga katika kujenga mazingira muafaka wa kupambana na maandamano halisi ya chadema na Tucta yanayonukia.
 
Kuna tetesi kuwa hayo yaliyotokea jana kati ya cuf na polisi ulikuwa ni mchezo wa kuigiza uliolenga katika kujenga mazingira muafaka wa kupambana na maandamano halisi ya chadema na Tucta yanayonukia.

Maandamano ya nini? ili mpate nini?

Mnataka kuiga kila kitu wakuu

Aisee mnatukera sisi wengine ambao biashara zetu ziko kandokando mwa barabara mpaka basi?

Si mpeleke hoja zenu kwenye authority bila kuandamana...

Wakati unasema cuf wamefanya self destruction you guys are doing the same thing...
 
Wakongwe wa siasa za maji marefu CUF wamelitibua tena jeshi la polisi na kuhakikisha wamefanya kile walichokusudia kwa amani huku wakiwachezesha polisi kifura.

Polisi ambao walionekana kupania na kulinda kila kona walikuwa kila wanapotahamaki wanajiona wamechwa kwenye mataa ,mwisho walisikia habari kutoka kwa wasamaria wema kuwa CUF wameshatinga kwenye wizara na kuwasilisha rasimu sifuri ya Katiba.

Sasa wanangangari hao ambao wanajulikana kama dume la mbegu kwa sababu ya kutoa wanasiasa mashuhuri kwenda kwenye vyama vingine kama akina Shaibu Akwilombe,Wilfred Lwakatare Tambwe Hiza ,Jidawi na wengineo ambao wamepata umaarufu wa ksisiasa kupitia chama hicho cha CUF.

Msemaji wa CUF amesema sasa wametoa tena mbegu hiyo ya kufanya maandamano na vyama vingine viwache stori stori nyingi na blah blah ,viingie barabarani kwa salama na amani bila ya kuleta vurugu kwani maandamano ya amani yaliyofanywa na CUF hakukutokea malalamiko yoyote ya uharibifu au uvunjifu wa amani,ila kukurukakara ndogo tu ya kufurahishana na polisi ,jambo ambalo wanauzoefu nalo na wanalifanya kwa ustadi mkubwa kabisa.Hii ni mara ya tatu kwa wanangangari hao au kwa jina lingine wekundu wa Tanzania kufanya maandamano na kufikia lengo lao.

umakini wa chadema haupimwi kwa maandamano.

hizi crap zako peleka huko zenj ambako kafu ninajulikana
 
Wakongwe wa siasa za maji marefu CUF wamelitibua tena jeshi la polisi na kuhakikisha wamefanya kile walichokusudia kwa amani huku wakiwachezesha polisi kifura.

Polisi ambao walionekana kupania na kulinda kila kona walikuwa kila wanapotahamaki wanajiona wamechwa kwenye mataa ,mwisho walisikia habari kutoka kwa wasamaria wema kuwa CUF wameshatinga kwenye wizara na kuwasilisha rasimu sifuri ya Katiba.

Sasa wanangangari hao ambao wanajulikana kama dume la mbegu kwa sababu ya kutoa wanasiasa mashuhuri kwenda kwenye vyama vingine kama akina Shaibu Akwilombe,Wilfred Lwakatare Tambwe Hiza ,Jidawi na wengineo ambao wamepata umaarufu wa ksisiasa kupitia chama hicho cha CUF.

Msemaji wa CUF amesema sasa wametoa tena mbegu hiyo ya kufanya maandamano na vyama vingine viwache stori stori nyingi na blah blah ,viingie barabarani kwa salama na amani bila ya kuleta vurugu kwani maandamano ya amani yaliyofanywa na CUF hakukutokea malalamiko yoyote ya uharibifu au uvunjifu wa amani,ila kukurukakara ndogo tu ya kufurahishana na polisi ,jambo ambalo wanauzoefu nalo na wanalifanya kwa ustadi mkubwa kabisa.Hii ni mara ya tatu kwa wanangangari hao au kwa jina lingine wekundu wa Tanzania kufanya maandamano na kufikia lengo lao.

Walichokifanya ni sawa na utoto tuu. Sioni tofauti na kutuma hiyo rasimu yao kwa njia ya Posta au Email au kupeleka bila ya maandamano uchwara. Kupeleka rasimu ni kitu kingine na rasimu kukubaliwa au kujadiliwa ni kitu kingine. Wanajipendekeza kupata umaarufu tuu.
 
Wakongwe wa siasa za maji marefu CUF wamelitibua tena jeshi la polisi na kuhakikisha wamefanya kile walichokusudia kwa amani huku wakiwachezesha polisi kifura.

Polisi ambao walionekana kupania na kulinda kila kona walikuwa kila wanapotahamaki wanajiona wamechwa kwenye mataa ,mwisho walisikia habari kutoka kwa wasamaria wema kuwa CUF wameshatinga kwenye wizara na kuwasilisha rasimu sifuri ya Katiba.

Sasa wanangangari hao ambao wanajulikana kama dume la mbegu kwa sababu ya kutoa wanasiasa mashuhuri kwenda kwenye vyama vingine kama akina Shaibu Akwilombe,Wilfred Lwakatare Tambwe Hiza ,Jidawi na wengineo ambao wamepata umaarufu wa ksisiasa kupitia chama hicho cha CUF.

Msemaji wa CUF amesema sasa wametoa tena mbegu hiyo ya kufanya maandamano na vyama vingine viwache stori stori nyingi na blah blah ,viingie barabarani kwa salama na amani bila ya kuleta vurugu kwani maandamano ya amani yaliyofanywa na CUF hakukutokea malalamiko yoyote ya uharibifu au uvunjifu wa amani,ila kukurukakara ndogo tu ya kufurahishana na polisi ,jambo ambalo wanauzoefu nalo na wanalifanya kwa ustadi mkubwa kabisa.Hii ni mara ya tatu kwa wanangangari hao au kwa jina lingine wekundu wa Tanzania kufanya maandamano na kufikia lengo lao.


nawakubali!
 
MH! sijakuelewa kwa nini utumie neno Dume la mbegu, au wewe ni dume la matunda? elezea bila misifa ndg yangu tutakuelewa sio kuweka bwebwe zako za kishamba
 
Walipeleka raimu ya nini vile? nilisikia kama unasema CUF wamepeleka rasimu ya mahakama ya kadhi
 
Kuna tetesi kuwa hayo yaliyotokea jana kati ya cuf na polisi ulikuwa ni mchezo wa kuigiza uliolenga katika kujenga mazingira muafaka wa kupambana na maandamano halisi ya chadema na Tucta yanayonukia.
mkuu hata kama ungekuwa wewe ufanye kuigiza kupigwa virungu kweli? walioenda kuandamana walikuwa raia tu kama wewe wa huko mtaani. nani angejitokeza kama ingekuwa kuigiza? na vitosho vyote yva afande Kova?
Tumia akili mungu alizokupa. Tafakari, chukua hatua.
 
Kulikuwa na haja kweli ya kuandamana mkuu?

Kama nikukabidhi rasimu si mngeomba appointment na Waziri viongozi wakaenda ofisini bila rabsha

Baadaye mkawaita media?

Mnapenda kujitangaza kwa mapambano badala ya kwa busara ...sijawakubali bado!
Mkuu Topical,

Hivi ni kweli hujawakubali bado? Jitetee mkuu,
Topical
user-online.png
JF Senior Expert Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png

Join DateFri Dec 2010

Did you find this post helpful? |
icon1.png
2015: Ubunge kupitia CUF?


Mimi ni mwanamageuzi wa siku nyingi napenda kugombea ubunge kupitia CUF mwaka 2015 jimbo moja mkoani manyara, vipi uungwaji wa CUF huko na mikakati gani natakiwa kufanya kuanzia sasa?

Tuache jokes niko serious!​
 
Mkuu Topical,

Hivi ni kweli hujawakubali bado? Jitetee mkuu,
Topical
user-online.png
JF Senior Expert Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png

Join DateFri Dec 2010

Did you find this post helpful? |
icon1.png
2015: Ubunge kupitia CUF?


Mimi ni mwanamageuzi wa siku nyingi napenda kugombea ubunge kupitia CUF mwaka 2015 jimbo moja mkoani manyara, vipi uungwaji wa CUF huko na mikakati gani natakiwa kufanya kuanzia sasa?

Tuache jokes niko serious!​

Kwa hili la kupeleka rasimu kwa maandamano..hamja tutendea haki wananchi

Hakukuwa na haja ya maandamano

Ilitakiwa appoinment na waziri then baadaye muite media

huo ndio msimamo wangu...next
 
Wakongwe wa siasa za maji marefu CUF wamelitibua tena jeshi la polisi na kuhakikisha wamefanya kile walichokusudia kwa amani huku wakiwachezesha polisi kifura.

Polisi ambao walionekana kupania na kulinda kila kona walikuwa kila wanapotahamaki wanajiona wamechwa kwenye mataa ,mwisho walisikia habari kutoka kwa wasamaria wema kuwa CUF wameshatinga kwenye wizara na kuwasilisha rasimu sifuri ya Katiba.

Sasa wanangangari hao ambao wanajulikana kama dume la mbegu kwa sababu ya kutoa wanasiasa mashuhuri kwenda kwenye vyama vingine kama akina Shaibu Akwilombe,Wilfred Lwakatare Tambwe Hiza ,Jidawi na wengineo ambao wamepata umaarufu wa ksisiasa kupitia chama hicho cha CUF.

Msemaji wa CUF amesema sasa wametoa tena mbegu hiyo ya kufanya maandamano na vyama vingine viwache stori stori nyingi na blah blah ,viingie barabarani kwa salama na amani bila ya kuleta vurugu kwani maandamano ya amani yaliyofanywa na CUF hakukutokea malalamiko yoyote ya uharibifu au uvunjifu wa amani,ila kukurukakara ndogo tu ya kufurahishana na polisi ,jambo ambalo wanauzoefu nalo na wanalifanya kwa ustadi mkubwa kabisa.Hii ni mara ya tatu kwa wanangangari hao au kwa jina lingine wekundu wa Tanzania kufanya maandamano na kufikia lengo lao.

Udume wa mbegu upo wapi sasa!! Tangu lini ccm B ikaandamwa na polisi!!! Huo ni usanii tu!
 
Kwa hili la kupeleka rasimu kwa maandamano..hamja tutendea haki wananchi

Hakukuwa na haja ya maandamano

Ilitakiwa appoinment na waziri then baadaye muite media

huo ndio msimamo wangu...next

wote cuf ,chadema,ccm ni cheche tupu
 
Back
Top Bottom