Simjui dulla, nawajua watangazaji wenye hadhi ya utangazaji, wakati Ivona Kamuntu anahama Star TV alifanya Press Mlimani city??
Baruan Muhuza amekaa over 15+ RFA alifanya sherehe na matangazo anapohamia Azam
Hao wahuni wenu mnawajua nyinyi wavaa Supra na Vest mitaani