Kolongoza hinda na umgongo kouchola
Ct scan huyo ataishia kunywa gongo apunguze maumivu.Kweli Mkuu anaweza kuwa amepata haemorrhage kwenye brain.Vema apewe huduma ya CT SCAN mapema.
Wewe juzi tu katoka kuchezea ngumi za Twaha Kiduku leo tena anamtafuta Mkongo man, atakuja kuozea ulingoni huyo jana hadi katema udendaKweli Mkuu anaweza kuwa amepata haemorrhage kwenye brain.Vema apewe huduma ya CT SCAN mapema.
Sasa hivi ni Abdallah Pazi basi,jina la wazazi alipozaliwa, mbabe tumelifuta rasmiPole yake sana, siyo mbabe tena...
Ha ha haAfwile munu, asigale munu,
Dulla ni Bondia wa Mikwala tu
Ila jamaa ana ngumi nzito sana aise.Ngumi hazipo hivyo,unaweza kushangaa akadondoshwa kiulaini tu huyo Katompa na Kiduku,naamini mapromota watamleta tena amchalenji kiduku,uzuri wa kiduku hakupi nafasi sana ya kumshambulia,shida ya dullah hana uwezo wa kujilinda kabisa,anaruhusu sana kupigwa,we fikiria ile mara ya pili alivyoangushwa yeye ndio alimbananisha huyo mkongo kwenye kamba lakini mkongo akachoropoka akamgonga ngumi iliyomwangusha mbabe,ana mapungufu mengi sana huyo mzaramo
ha..ha..ha.Asigale katompa afwile dulla
Katompa kanifurahisha sana aiseHalafu hakuna na maandalizi wamemstukiza
Mkongo yule sio poa,yupo gado sanaIla jamaa ana ngumi nzito sana aise.
Ni hatari
Aliekufa mtu aliebaki mtuHii maana yake nini huwa sielewi