Mnajenga kwa kutumia tofari au udongo?Vumilieni tunajenga nchi ya viwanda.
kwakutumia cement ya DangoteMnajenga kwa kutumia tofari au udongo?
Watanzania bwana kwa kulalamika hatujambo. Nashangaa hapa ninapoishi India kuna tatizo la pesa hata benki unapiga foleni Na mwisho unaambiwa zimeisha. ATM hakuna kitu ila sioni manung'uniko. Ingekuwa Bongo nadhani JPM ashakimbia nchi. Wenzetu wanaendelea na kazi zao. Tujenge tabia ya kuvumilia.Mbna bei ya ugali na wali ni sawa kwa mamalishe tangu kitamboooo mbna hukushangaa. Fanya vya muhimu siyo kila kitu kupost tu
Mbna bei ya ugali na wali ni sawa kwa mamalishe tangu kitamboooo mbna hukushangaa. Fanya vya muhimu siyo kila kitu kupost tu
kama bei imekuwa hiyo it means mahindi uzalishaji umepunguaAcha na wakulima tufaidi ndugu mwaka huu mahindi yamecheza kwenye 10,000 hadi 15,000 kwa sasa na hio ni bei ya mikoani kwa debe moja. Nyie mnapenda tulime kwa gharama halafu tuuze 7000 kwa debe moja? Hapana, acha nasi tufanye ya maana na hio ndio sababu kubwa kwa nyie wanunua sembe kuuziwa bei juu.
ni ngumu kukuta wali na ugali bei sawa kwa mama ntilie huyo jamaa mpuuzieIngredients nyingi za wali na ugali ni tofauti kabisa kwa maana wali unazo nyingi kuliko ugali. Kwa hiyo bei ya unga na mchele kuwa sawa haziwezi kupelekea ugali na wali kuuzwa sawa labda kama bei ya chumvi au mafuta au maji itakuwa imeshuka au bei ya hivyo vyote kushuka. Pia aina ya energy inayotumika kuandaa vyakula hivyo yaweza kuchangia ongezeko la bei la ugali.
kwani ugali na wali ni kipi chenye ingredients nyingi mkuuIngredients nyingi za wali na ugali ni tofauti kabisa kwa maana wali unazo nyingi kuliko ugali. Kwa hiyo bei ya unga na mchele kuwa sawa haziwezi kupelekea ugali na wali kuuzwa sawa labda kama bei ya chumvi au mafuta au maji itakuwa imeshuka au bei ya hivyo vyote kushuka. Pia aina ya energy inayotumika kuandaa vyakula hivyo yaweza kuchangia ongezeko la bei la ugali.