Dukani bei ya kilo moja ya mchele ni sawa na ya unga dukani

Dukani bei ya kilo moja ya mchele ni sawa na ya unga dukani

Ilitakiwa kwanza unga uwe juu kuliko mchele, sababu mchele hauongezi chochote mwilini
 
Usimlamikie magufuli hiyo kwako fursa kopa million tano nunua unga weka ndani mwez wa NNE utauza kiroba 40000

Bila utafiti inaweza kula kwako kwani matokeo ni aidha faida, bila bila (kurudisha pesa), au hasara. Nasema hivi kwa sababu mambo yanaweza kubadili ndani ya mwezi wa tatu yaani bei ya unga kushuka.
 
Dah...wewe ndiyo una argument ya kipumbavu kabisa.....kama unga wa mahindi umepanda bei lakini bei ya ugali ipo palepale...huoni kama kuna jambo la kufikirisha....bora wewe ndiyo ungepita kimyakimya[emoji13] [emoji13]
Duuh kweli nchi hii ina vlaza sana!Hebu nenda kwa mama ntilie kaulize kilo 1 ya unga na kilo 1 ya mchele ipi anatoa sahani nyingi kwa kuwapimia wateja msosi!Ungejiuliza haya mapema usingekurupuka kutoa argument ya kipuuzi
 
Bila utafiti inaweza kula kwako kwani matokeo ni aidha faida, bila bila (kurudisha pesa), au hasara. Nasema hivi kwa sababu mambo yanaweza kubadili ndani ya mwezi wa tatu yaani bei ya unga kushuka.
Kushuka being ya unga sasa HIV in ndoto mpaka wakat wa mavuno ambayo nikuanzia mwez wa tano huko. Kusema mchele utashuka ni ndoto za alinacha zaid utapanda sana hasa kuanzia christmas na hautashuka mpaka baada ya mavuno. Kuhus importation hakuna importation ya kuweza kucover maana nchi zote za ukanda huu ziko vibaya. Usiigope
 
Duuh kweli nchi hii ina vlaza sana!Hebu nenda kwa mama ntilie kaulize kilo 1 ya unga na kilo 1 ya mchele ipi anatoa sahani nyingi kwa kuwapimia wateja msosi!Ungejiuliza haya mapema usingekurupuka kutoa argument ya kipuuzi
Dah...Wewe ndiyo kiazi kwelikweli...Hapa hoja ilikuwa ni bei ya unga kupanda wakati bei ya ugali iko palepale...sasa wewe ndiyo umeleta hoja mpya kabisa...hoja ya mapishi..😀😀😀😀😀
 
Acheni viherehere wakat nahodha kakalia chombo anatupeleka kwenye NCHI YA AHADI mara zote ni lazima dhahabu ipite kwenye moto mkali ili ipate kuwa na mng'ao tunaoufaham ....hta bakhlesa alianza kwa kufunga mkanda hivi hivi....vumilieni wakuu JUST A LITTLE BIT...
 
Nafanya biashara ya packaging unga wa sembe. Gunia la Mahindi lenye ujazo wa debe sita ukinunua makambako mpaka Dsm ni Tshs. 85,000. Nadhani kufikia January hali itakuwa mbaya zaidi.
 
Dah...Wewe ndiyo kiazi kwelikweli...Hapa hoja ilikuwa ni bei ya unga kupanda wakati bei ya ugali iko palepale...sasa wewe ndiyo umeleta hoja mpya kabisa...hoja ya mapishi..😀😀😀😀😀
Soma content ya habari ya mleta hoja!Au umekurupuka,hoja ni kuwa haijawahi mchele na unga kuwa bei moja sokoni.sasa bei ya unga imepanda imefikia mpaka ya mchele!
 
Soma content ya habari ya mleta hoja!Au umekurupuka,hoja ni kuwa haijawahi mchele na unga kuwa bei moja sokoni.sasa bei ya unga imepanda imefikia mpaka ya mchele!

Wakati wewe Na mzee Rohombaya mnabishana
Wengine tumeona fursa.JF bhana NI chuo kabambe
 
Watanzania bwana kwa kulalamika hatujambo. Nashangaa hapa ninapoishi India kuna tatizo la pesa hata benki unapiga foleni Na mwisho unaambiwa zimeisha. ATM hakuna kitu ila sioni manung'uniko. Ingekuwa Bongo nadhani JPM ashakimbia nchi. Wenzetu wanaendelea na kazi zao. Tujenge tabia ya kuvumilia.
Hizo ela naomba msaada au ni zangu mwenyewe niliziweka.??
 
Hizo ela naomba msaada au ni zangu mwenyewe niliziweka.??
Ndugu yangu khali ni tete. Ni fedha zako kama ulizoweka CRDB. Ukiona misululu ya watu utawahurumia maana fedha hazizunguki India. Hata ukija huku na dollar ndo usiseme. Katika baadhi ya maduka na mahotelini kuna kibao kuwa hawachenji noti za 2,000 imagine. Ila kinachokubalika ni kadi ya benki
 
Soma content ya habari ya mleta hoja!Au umekurupuka,hoja ni kuwa haijawahi mchele na unga kuwa bei moja sokoni.sasa bei ya unga imepanda imefikia mpaka ya mchele!
Dah..sasa wingi wa sahani za ugali au wali unatokea wapi??😀😀😀😀
 
Sasa hali tete haijawai kutokea kilo moja ya mchele kulingana na ile ya unga wa mahindi,hakika tutaisoma namba haswa maana mpaka sasa serikali haijatuambia sababu ya unga kupanda bei na kuwa sawa na bei ya mchele ambayo ni 1500/=
Wapi huko mchele 1500

Huku kwetu wenye chenga za kutosha unaanzia 1800
 
Back
Top Bottom