Dukani bei ya kilo moja ya mchele ni sawa na ya unga dukani

Dukani bei ya kilo moja ya mchele ni sawa na ya unga dukani

kwani ugali na wali ni kipi chenye ingredients nyingi mkuu

Namaanisha utofauti kwenye idadi na aina zake. Wali unazo nyingi kuliko ugali, na kuna zinazofanana na zinazotofautiana. Wali=mchele+maji+chumvi+mafuta ya kupikia wakati ugali=unga+maji sasa angalia equation ipi au model ipi ina mambo mengi, na utofauti wa mambo hayo. shared factor iliyopo ni maji tu na hata hivyo wali unataka maji mengi kuliko ugali kwa maana ya maji ya kuoshea na maji ya kupikia! Bado hapo muda wa kupika na kiasi cha energy ingawaje inategemea unatumia jiko la aina gani na energy ya aina gani.

Pia kiasi cha ugali na wali ni sawa kwa kipimo cha mtu mzima mmoja.

Na hapa naongelea maandalizi tayari.

Nafikiri nimejibu swali.
 
Kwaiyo mchele haujapanda ila unga umeufwata mchele??

Basi kulen.ubwaubwa mpk mshangae

Nasikitika mzee wangu aliuza mahind August daah angekula faida....


Pambanen na hali zenu aisee,
 
Mkuu inawezekana wanalalamika kwa Kihindi huwaelewi tu.
Watanzania bwana kwa kulalamika hatujambo. Nashangaa hapa ninapoishi India kuna tatizo la pesa hata benki unapiga foleni Na mwisho unaambiwa zimeisha. ATM hakuna kitu ila sioni manung'uniko. Ingekuwa Bongo nadhani JPM ashakimbia nchi. Wenzetu wanaendelea na kazi zao. Tujenge tabia ya kuvumilia.
 
Kama hujui kwanini mwaka huu bei ya mahindi iko juu hadi uambiwe sababu Na serikali eti utaisoma namba as if kupanda huko kwa bei ya sembe sababu Ni serikali, basi wewe Ni mmojawapo wa wale Vilazaa!!!!
 
Ingredients nyingi za wali na ugali ni tofauti kabisa kwa maana wali unazo nyingi kuliko ugali. Kwa hiyo bei ya unga na mchele kuwa sawa haziwezi kupelekea ugali na wali kuuzwa sawa labda kama bei ya chumvi au mafuta au maji itakuwa imeshuka au bei ya hivyo vyote kushuka. Pia aina ya energy inayotumika kuandaa vyakula hivyo yaweza kuchangia ongezeko la bei la ugali.
Usimlamikie magufuli hiyo kwako fursa kopa million tano nunua unga weka ndani mwez wa NNE utauza kiroba 40000
 
Sijui uko mkoa gani ila kwa Dsm, kuna maeneo hiyo bei ya unga ipo tangu mwaka 2012 kwa sababu kuna maeneo nayoyafahamu,kilo ya unga ilikuwa ikinunuliwa kwa sh. 1400. Sasa sijui sijakuelewa au sijui unakusudia kusema nini labda?
 
Mvua baadhi ya maeneo haikuwa nzuri hivyo mshindi wengi hawa kupata kama walivyotarajia.

Mvua ya mwaka huu ilikuwa supportive sana kwa zao la mpunga.

Bei ya sembe lazima ipande tu mwaka huu na ni mfumo wa biashara.
 
Watanzania bwana kwa kulalamika hatujambo. Nashangaa hapa ninapoishi India kuna tatizo la pesa hata benki unapiga foleni Na mwisho unaambiwa zimeisha. ATM hakuna kitu ila sioni manung'uniko. Ingekuwa Bongo nadhani JPM ashakimbia nchi. Wenzetu wanaendelea na kazi zao. Tujenge tabia ya kuvumilia.
Kuna watu kulialia kwao ni kama mila ya aina fulani ambayo wanaona wakiiacha, kuna kitu watapungukiwa hivi.
 
kwa upande wangu naona sawa tu.
Sio kwa upande wako tu, hiyo bei wengine tulikutana nayo tangu mwaka 2012 ingawa ni kwa difference ya sh.100 lakini ni indication kuwa siyo jambo la hivi karibuni.
 
A

Argument ya kipumbavu kabisa hii!Bora ungepita tu
Dah...wewe ndiyo una argument ya kipumbavu kabisa.....kama unga wa mahindi umepanda bei lakini bei ya ugali ipo palepale...huoni kama kuna jambo la kufikirisha....bora wewe ndiyo ungepita kimyakimya[emoji13] [emoji13]
 
Ni kweli kabisa,majuzi nilienda kununua kiloba cha kilo 25 kwa bei ya shilingi 32000/=,wakati hapo nyuma nilikuwa nanunua kwa shilingi 25000/=,Maisha yanazidi kuwa magumu yaani
 
Sasa hali tete haijawai kutokea kilo moja ya mchele kulingana na ile ya unga wa mahindi,hakika tutaisoma namba haswa maana mpaka sasa serikali haijatuambia sababu ya unga kupanda bei na kuwa sawa na bei ya mchele ambayo ni 1500/=
Nunua mchele sasa
 
Watanzania bwana kwa kulalamika hatujambo. Nashangaa hapa ninapoishi India kuna tatizo la pesa hata benki unapiga foleni Na mwisho unaambiwa zimeisha. ATM hakuna kitu ila sioni manung'uniko. Ingekuwa Bongo nadhani JPM ashakimbia nchi. Wenzetu wanaendelea na kazi zao. Tujenge tabia ya kuvumilia.
Acha izo ww hakuna nchi yenye maandamano na midahalo mikali kila kukicha kma hio
 
Back
Top Bottom