Hii awamu watakaofaidi sanaAcha na wakulima tufaidi ndugu mwaka huu mahindi yamecheza kwenye 10,000 hadi 15,000 kwa sasa na hio ni bei ya mikoani kwa debe moja. Nyie mnapenda tulime kwa gharama halafu tuuze 7000 kwa debe moja? Hapana, acha nasi tufanye ya maana na hio ndio sababu kubwa kwa nyie wanunua sembe kuuziwa bei juu.
tike mere dost.Watanzania bwana kwa kulalamika hatujambo. Nashangaa hapa ninapoishi India kuna tatizo la pesa hata benki unapiga foleni Na mwisho unaambiwa zimeisha. ATM hakuna kitu ila sioni manung'uniko. Ingekuwa Bongo nadhani JPM ashakimbia nchi. Wenzetu wanaendelea na kazi zao. Tujenge tabia ya kuvumilia.
unhen sach batao (उन्हें सच बताओ)tike mere dost.
Atike mere dost.
unhen sach batao (उन्हें सच बताओ)tike mere dost.
Ndio maana nasema akili ndogo,unafikiri ndani ya box!Dah..sasa wingi wa sahani za ugali au wali unatokea wapi??😀😀😀😀