Duka la rejareja linauzwa

Duka la rejareja linauzwa

Huwa inauzwa 150
Acha uongo mkuu..huo mzani bei halisi hauzidi elf 80. Kariakoo shimoni hiyo ipo kibao..kumbuka hiyo mizani hawaruhusu kuuzia bidhaa za rejareja. Mizani inayoruhusiwa ni hii hapa..
1568369727770.jpeg
 
Ule mwingine kazi yake ni kuuzia nini mkuu
Kwa Mimi nilivyomuelewa kwamba ule mzani mwingine ni kwa ajili ya kuuzia nafaka kwa jumla na sio kupimia kilo moja moja.
Yaani mfano mtu anahitaji mchele kilo 50 au 100 ndio utautumia ule kwa kupima kilo kumi kumi au tano tano Hadi zitimie.
 
mauzo kwa siku wastani ni shingap kabla hatujachukua maamuzi
 
Back
Top Bottom