Duka la rejareja linauzwa

Duka la rejareja linauzwa

Ina wezekana

Member
Joined
Sep 2, 2017
Posts
74
Reaction score
170
Lipo Kimara mwisho (Tanesco stand ya bonyokwa)

Bei M 3.5

Bei inajumuisha Bidhaa zote zilizo dukani, mizani ya kupimia nafaka, kodi ya frem inayoisha January, Friji kubwa inayofanya kazi.

Mawasiliano. PM
20190811_194007.jpeg
20190811_193711.jpeg
 
Kwanini unauza mkuu?
Tusainiane uwe unapata kidogo kila mwezi kama laki 5 kila mwezi.
Kodi bei gani kwa mwezi?
 
Kwanini unauza mkuu?
Tusainiane uwe unapata kidogo kila mwezi kama laki 5 kila mwezi.
Kodi bei gani kwa mwezi?
Kodi laki moja kwa mwezi.

Nauza kwa sababu ya matatizo (maradhi)

Nataka mteja wa awamu moja mkuu.
 
Mkuu siyo kwamba unakimbia ushirikina..maana kwa mujibu wa wafipa nasikia mtu huwez fanya biashara mpaka ukadafishe duka kwa kalumanzila
 
Mkuu niuzie huo mzani..nakupa 50 uniletee kesho nakupa na nauli ya kuuleta elf 5.
 
Niuzie huo mzani mkuu..!! Nakupa 50 na nauli nakupa elf 5. Km inawezekana niletee kesho....!!!
 
Mkuu niuzie huo mzani..nakupa 50 uniletee kesho nakupa na nauli ya kuuleta elf 5.
Muwe waelewa angalau mtumie elimu iliyo wakalisha darasani miaka 20. Muhusika anauza duka lote na si kitu kimoja kimoja tena anauza sababu ya shida. Sasa akianza kuuza kimoja kimoja hiyo shida inayo mkabili nadhani hato itatua kwa wakati.
 
Back
Top Bottom