Duka la nguo za watoto

Kelvin Bwanaly

New Member
Mar 26, 2021
1
3
Habari
Naomba ushauri juu ya biashara ya nguo za watoto pamoja na mazaga zaga yanayo husu watoto
Nina 5 Milioni, io n pesa ya kununua mzigo tu, namaanisha mbali na kodi ya chumba
Je kwa uzoefu wa wenye kuifanya hii kazi, naweza toboa au laaa!!??
Location yangu ni Tunduma
 
Back
Top Bottom