Kelvin Bwanaly
New Member
- Mar 26, 2021
- 1
- 3
Habari
Naomba ushauri juu ya biashara ya nguo za watoto pamoja na mazaga zaga yanayo husu watoto
Nina 5 Milioni, io n pesa ya kununua mzigo tu, namaanisha mbali na kodi ya chumba
Je kwa uzoefu wa wenye kuifanya hii kazi, naweza toboa au laaa!!??
Location yangu ni Tunduma
Naomba ushauri juu ya biashara ya nguo za watoto pamoja na mazaga zaga yanayo husu watoto
Nina 5 Milioni, io n pesa ya kununua mzigo tu, namaanisha mbali na kodi ya chumba
Je kwa uzoefu wa wenye kuifanya hii kazi, naweza toboa au laaa!!??
Location yangu ni Tunduma