Mdumange wetu utabaki kuwa mdumange tuKati ya ngoma za asili ambazo ninazielewa, Sangura nadhani inashika namba moja! Yaani hata mdumange hautii mguu!!!
Hakika Wapogolo wanafaidi sana aisee!
Haa TehMdumange wetu utabaki kuwa mdumange tu
Achana na mdumange bwana na uheshimiwe na watu woteHaa Teh
Yaani She...Unadharau Mdumange, Oops Tate Nane...
Zumbe UzahumuaMdumange wetu utabaki kuwa mdumange tu
Eka Du!!Achana na mdumange bwana na uheshimiwe na watu wote
Sawa mzaramo nyie kabila lenu lipoje kucheza uchiuchiKabila la hovyo
Haa Teh
Yaani She...Unadharau Mdumange, Oops Tate Nane...
Hebu tuwekeeni mdumange tuone jinsi wanavyoudumanga!Achana na mdumange bwana na uheshimiwe na watu wote
Wewe Jamaa WeweHebu tuwekeeni mdumange tuone jinsi wanavyoudumanga!
Yeah, tunataka tulinganishe na sangura.Wewe Jamaa Wewe