Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,715
- Thread starter
- #21
Kazi za wanaume akina mama siku hizi...wanafanya wao mpaka za garage, kuendesha daladala, kupiga debe NK.Aiseeeee, kweli sasa wanaume tuongeze juhudi
Huyu hata akikuomba hela ya saluni unampa kwa moyo mweupeee. Unajua mpenzi wako kweli ana shida.
kama huyo ni binti basi kazi kwelikweli!! maaan ana sura ya kidume lakini hafanyi kazi!!
sistaduu wa sumbawanga mjiniNdio maana ndoa zinawashindaKazi za wanaume akina mama siku hizi...wanafanya wao mpaka za garage, kuendesha daladala, kupiga debe NK.
Mkandarasi wa mradi anatakiwa kuchukuliwa hatua kwa kutofuata sheria ya Usalama kazini.