Duh... Netanyahu kayakanyaga aisee!

🇺🇸🇮🇱⚡️🇮🇷 Iran exposed both Tel Aviv and Washington as weak, loud, and desperately out of breath.

Steve Bannon, Former Trump Adviser: Israel Had No Strength Left to Continue War with Iran

“Yesterday was a very tough day… This ceasefire was more about saving Israel. That’s the hidden part of the story.”

“They got into something beyond their capability. They went so far that they had nothing left in them… Yesterday was truly a terrifying day for the people of Israel.”

“They needed this ceasefire because their defensive munitions were running out, and Trump got involved with Qatar’s help.”
 
👍🤣🤣🤣
 
Lengo lao ilikuwa kuharibu vinu vya nukes vya Iran na wamefanikiwa!

Sasa hapo mshindi ni nani
Hebu soma vizuri hii habari kutoka kwa shirika lenu wenyewe la kijasusi ambalo limekiri kwamba hakuna kinu cha nyuklia kilichoshambuliwa.

Kizuri ni kwamba chanzo cha taarifa hii kimeandikwa na gazeti linalomililiwa na maadui wa Iran, na majasusi wanaosema kuwa vinu havijashambuliwa pia ni hao hao maadui wa Iran. Sasa sijui kati ya majasusi waliokiri kuwa vinu havikushambuliwa na wewe myahudi mweusi wa bonyokwa nani tumuamini hapa!
 

Attachments

  • Screenshot_20250625-084018.jpg
    388.1 KB · Views: 16
  • Screenshot_20250625-084041.jpg
    386.2 KB · Views: 11
Wenye hivyo vinu vyao wamekataa kwa kusema havijaharibiwa! Na hapo tumuamini nani, mmiliki au mvamizi!!
Achana na wenye vinu. Hata shirika la kijajusi la linalomilikiwa na maadui wa Iran limekiri kwamba hakuna kinu kilichoshambuliwa. Pia uzuri wa habari hii ni kwamba imeandikwa na gazeti linalomilikiwa na maadui wa Iran ambalo ni Dutch Welle (DW) , sio aljazira.
 

Attachments

  • Screenshot_20250625-084018.jpg
    388.1 KB · Views: 15
  • Screenshot_20250625-084041.jpg
    386.2 KB · Views: 17

Attachments

  • Screenshot_20250625-084018.jpg
    388.1 KB · Views: 15
  • Screenshot_20250625-084041.jpg
    386.2 KB · Views: 14
On top of that; vyanzo vitatu vya kijasusi vya Marekani vimekiri Trump hakufanikiwa adhima yake ya kuangamiza kabisa kabisa vyanzo vya nuclear vya Iran, vimesema athari itawachukuwa Iran miezi michache tu kurudi walipokuwa kwenye eneo lile liloshambuliwa
 
Kwa kipigo ilichopata Israel toka kuanzishwa kwa taifa hilo, sidhani kama Netanyahu anaweza kuthubutu hata kuwaza huu ujinga wako ulioandika hapa.

Fikiria vita ya week tu jamaa alikuwa ameshapoteza afya mpaka Marekani ikaamua kuingilia kati ili kuwanusuru.

Wewe toka umfahamu Netanyahu ushawahi kufikiri kwamba kuna siku utakuja kumuona akiwa katika hali hii hapo pichani? Suruali za Netanyahu zilikuwa hazikazi tena kiunoni 🤣🤣🤣🤣

Safari hii mwamba aliwambwa kweli kweli. Na wasingeomba poo, basi angekufa kwa stress ya kukimbilia kimbilia shimoni kila siku pindi wanaposikia makombora ya Iran yanakuja 🤣🤣🤣
 

Attachments

  • 20250620_182450.jpeg
    81.8 KB · Views: 16
  • 20250620_225357.jpeg
    21.3 KB · Views: 17
Netanyahu's propaganda at work.
 
Waajemi wameishangaza dunia kwa ujasiri wao wa kuwachapa waisrael na Marekani yao, kisha kuwaingiza chaka bila kutegemea.
 

Attachments

  • Screenshot_20250625-084018.jpg
    388.1 KB · Views: 16
  • Screenshot_20250625-084041.jpg
    386.2 KB · Views: 10
Maajabu ni pale wewe mwenyewe umeanzisha vita kisha wewe mwenyewe unaomba suluhu

Israel na US wamepata walichokuwa wanakitafuta
 
Kwani wayahudi wetu wa bonyokwa wanalizungumziaje hili swala. Maana inaonekana wao wanalifahamu hili shambulizi kuliko vyombo vya kijasusi vya Marekani yenyewe 🤣🤣🤣
 
Maajabu ni pale wewe mwenyewe umeanzisha vita kisha wewe mwenyewe unaomba suluhu

Israel na US wamepata walichokuwa wanakitafuta
Ilikuwa ni kipigo cha mbwa mwizi, mpaka Netanyahu huko Shimoni alikuwa haogi, hali wala halali.
 

Attachments

  • 20250620_225357.jpeg
    21.3 KB · Views: 16
Chizi Trump na huyo mwehu mwenzake akili zimeanza kuwarudia sasa. Ni vigumu kupigana vita dhidi ya adui usiyejua nguvu za anayemfadhili. Mamaee zao.....wakome kama walivyokoma ziwa la nina zao!
 
Chizi Trump na huyo mwehu mwenzake akili zimeanza kuwaridia sasa. Ni vigumu kupigana vita dhidi ya adui usiyejua nguvu za anayemfadhili. Mama zao.....wakome kama walivyokoma ziwa la nina zao!
Yani safari hii wamechapwa na wakachapika kweli kweli 🤣🤣🤣
 
Huku Hamas wanajipigia ,Mungu wao anakuwaga wapi kuwtetea hawa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…