khaa! Kwakweli vijana wa siku hizi wengine ni legelege sana, yaani hata hili linakushinda??
Kama hum feel muache. Utapata shida bureeeee! Na wala USIMCHAKACHUE maana hukawii wewe!
Kimsingi sina hisia za kimapenzi kwake kabisa
kuwa mkweli, she is a big girl naamini atakuelewa. usizidi kumpotezea muda.
Unajua i dont wanna give her hopes so ma dinner na ma lunch hayo yatamfanya hopes zake ziwe juu halafu ukizikata inakuwa ni super blow kwakeSure, ask her for dinner sehemu nzuri tu mkishamaliza kula msifie kwanza hata kama siyo as it seems unahumshemu fulani hivi kutoka kwenye posts zako, tell her she is beautiful but u think u n her it will not work. Mpe reasons za kueleweka n call it off, na siyo siyo baada hapo unaanza tena kurudi, kama unaweza cut off communication. Better maumivu ya once than kumsubirisha ayasikilizie kwa muda mrefu i.e putting her on hold.