Duh, hii ni hatari! Kumbe wananchi walikusudia kumuua mkuu wa Wilaya

 
Serkali isiyo sikivu wanaoiwakilisha ndio watabeba lawana. Mambo mangapi yanatendeka hapa rais anaambiwa amekaa kimya hana mpango wala nini? Wananchi wamechoshwa . Nidhamu za woga ndio zinapelekea wananchi wasipate ufumbuvi wa matatizo yako. Tatizo la rais huyu ni kuchagua mcd badala ya madc
 
Kama matatizo ya wananchi yanaimbwa kama ngonjera na rais anayasikia na asiyafanyie kazi. Unafikiri wananchi wafanyeje? Tatizo huyu rais siyo msikivu na hafanya kama watu wanvyomtarajia anaambiwa atulie nchini yeye kiguu na njia siku moja atakuja shangaa wawakilishi wote wako chini ya ulinzi na wananchi wamechukua chao. Badala ya kuteua madc yeye anateua mcd.
 
Hiyo kumbe ni tetesi tu,hamna ushahidi wenye uthibitisho hivyo wewe utakuwa hatiani kwa kuzusha mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…