Jamsuldash
Member
- Jul 14, 2011
- 69
- 24
Kulikuwa na mkutano wa walimu kutoka shule kadhaa za sekondari hapa Tanzania ambazo ni Mzumbe, Kibaha, Senge, Kilakara, Mirambo na Galanosi basi ukaja wakati wa kuwapanga walimu MC akaanza wale walimu wa Mzumbe wakae hapa, wa Kibaha pale, wa Mirambo hapo, wa Galanosi wakae huku mbele pamoja wa Kilakara na wale walimu . . . . Senge wakae nyuma huko.