tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 27,345
- 28,258
Dudubaya siku zote amekuwa mstari wa mbele kupinga vitendo vya kishoga hapa nchini. Huyu jamaa anastahili kabisa kuwa balozi wa kupinga ushoga. Hakuna mtu asiyefahamu jinsi Mambaz24 anavyopambana dhidi ya mashoga na wasagaji katika taifa hili.
Pamoja na juhudi zote hizi, nimesikitishwa sana kusikia Dudubaya kuitwa polisi sentroo ili ashughulikiwe kwa sababu ya klipu za kupinga ushoga anazoshare mara kwa mara kwenye mitandao ya kijamii. Nimebaki najiuliza: Je, serikali hii ni ya kishoga au inakubaliana na vitendo vya kishoga? Kama sivyo, kwanini wamuandame Mambaz na kumkatisha tamaa kwa jitihada zake za kupambana dhidhi ya ushoga? Huenda kuna manufaa ambayo serikali inayapata kupitia vitendo vya kishoga. Kama manufaa hayo yapo, basi yawekwe wazi kwa kila mtu.
Nilitegemea Mambaz aitwe Ikulu akanywe chai na Rais huku akimpongeza na kumtia moyo kwa kazi nzuri anayoifanya, badala yake ameitwa kihuni aende sentroo akasoteshwe. Huko sentroo hakawii kumbabikwa kesi ya uhaini au ugaidi ili akose dhamana.
MAONI YANGU
Naomba serikali isimnyanyase Mambaz na kumtoa kwenye lengo lake zuri la kutokomeza ushoga na usagaji hapa nchini. Nashauri pia serikali imuandalie tuzo ya pongezi na kumtia moyo. Wanaoumizwa na vitendo hivi ni watoto na wajukuu zetu. Watoto wa watawala na vigogo mara nyingi hawaguswi ndio maana hawana uchungu dhidi ya vitendo hivi vya kishenzi vinavyozidi kushamiri siku hadi siku.
Nawasilisha.
Pamoja na juhudi zote hizi, nimesikitishwa sana kusikia Dudubaya kuitwa polisi sentroo ili ashughulikiwe kwa sababu ya klipu za kupinga ushoga anazoshare mara kwa mara kwenye mitandao ya kijamii. Nimebaki najiuliza: Je, serikali hii ni ya kishoga au inakubaliana na vitendo vya kishoga? Kama sivyo, kwanini wamuandame Mambaz na kumkatisha tamaa kwa jitihada zake za kupambana dhidhi ya ushoga? Huenda kuna manufaa ambayo serikali inayapata kupitia vitendo vya kishoga. Kama manufaa hayo yapo, basi yawekwe wazi kwa kila mtu.
Nilitegemea Mambaz aitwe Ikulu akanywe chai na Rais huku akimpongeza na kumtia moyo kwa kazi nzuri anayoifanya, badala yake ameitwa kihuni aende sentroo akasoteshwe. Huko sentroo hakawii kumbabikwa kesi ya uhaini au ugaidi ili akose dhamana.
MAONI YANGU
Naomba serikali isimnyanyase Mambaz na kumtoa kwenye lengo lake zuri la kutokomeza ushoga na usagaji hapa nchini. Nashauri pia serikali imuandalie tuzo ya pongezi na kumtia moyo. Wanaoumizwa na vitendo hivi ni watoto na wajukuu zetu. Watoto wa watawala na vigogo mara nyingi hawaguswi ndio maana hawana uchungu dhidi ya vitendo hivi vya kishenzi vinavyozidi kushamiri siku hadi siku.
Nawasilisha.