ni kweli kabisa alichokisema,wengi wao siyo wote ni kuuza sura tu,nakumbuka kuna siku nilikuwa naangalia tangazo la kipindi cha bongo movie, kuna muigizaji mmoja jina limenitoka akasema kama mwanamke huna mvuto na mengineyo hufai kuwa muigizaji,nimenukuu hapo,kwani kuigiza kwa mtu katika tasnia hiyo ni kuvitia watu au nakuelimisha jamii unamvutia mtu upande upi,katika kuhakikisha unaitendea haki tasnia hiyo au kutaka uonekane una mvuto kimapenzi.
Hili ni janga na matokeo yake wengi wasipoangalia si wote,kwa wale ambao wanafikiri hiyo ni ajaira ya kwenda kutembeza kilichofunikwa na nguo ya ndani tutawazika kwa magonjwa ya zinaa ikiwemo ukimwi.
Kweli inasikitisha sana
hongera dude kwa kuliona hili na usichoke kukemea tabia mbaya za hawa watu kwa kutumia fursa hii kama ajira na baadaye kuidhalilisha.
Ni kweli kabisa alichokisema,wengi wao siyo wote ni kuuza sura tu,nakumbuka kuna siku nilikuwa naangalia tangazo la kipindi cha Bongo Movie, kuna muigizaji mmoja jina limenitoka akasema kama mwanamke huna mvuto na mengineyo hufai kuwa muigizaji,nimenukuu hapo,kwani kuigiza kwa mtu katika tasnia hiyo ni kuvitia watu au nakuelimisha jamii unamvutia mtu upande upi,katika kuhakikisha unaitendea haki tasnia hiyo au kutaka uonekane una mvuto kimapenzi.
Hili ni janga na matokeo yake wengi wasipoangalia si wote,kwa wale ambao wanafikiri hiyo ni ajaira ya kwenda kutembeza kilichofunikwa na nguo ya ndani tutawazika kwa magonjwa ya Zinaa ikiwemo UKIMWI.
Kweli inasikitisha sana
Hongera DUDE kwa kuliona hili na usichoke kukemea tabia mbaya za hawa watu kwa kutumia fursa hii kama ajira na baadaye kuidhalilisha.