Dude linaamshwa? Takribani Asasi za Kiraia 1,271 kufutwa, wamo ACACIA..

Hussein Massanza

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
1,016
2,194
Serikali ya Magufuli sio ya mchezo mchezo!

Msajili wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali ametangaza kuyafuta Mashirika takribani 1,271 kwa kuendesha shughuli zao kinyume cha Sheria ya NGO.

Mashirika hayo yamepewa siku 30 yajieleze kabla hayajafutwa kabisa.

Binafsi nimevutiwa na uwepo wa Asasi inayoitwa ACACIA DEVELOPMENT SOCIETY. Nisiulizwe kwanini tafadhali.

Nimewawekea Orodha nzima kwenye document hiyo hapo chini mjisomee.
 

Attachments

  • DOC-20170529-WA0020.pdf
    685.1 KB · Views: 162
image.jpeg
Hii ACACIA itakuwa ile NGO iliyokuwa inajihusisha na maswala ya utunzaji wa mazingira!!Ipo toka miaka ya 1980's Acacia Development Society: History

Pale Arusha na Iringa kuna Duka la Madawa kubwa sana linaitwa "ACACIA"...Lipo kitambo kabla hata mgodi wa ACACIA haujaitwa hilo jina.
 
Serikali ya Magufuli sio ya mchezo mchezo!

Msajili wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali ametangaza kuyafuta Mashirika takribani 1,271 kwa kuendesha shughuli zao kinyume cha Sheria ya NGO.

Mashirika hayo yamepewa siku 30 yajieleze kabla hayajafutwa kabisa.

Binafsi nimevutiwa na uwepo wa Asasi inayoitwa ACACIA DEVELOPMENT SOCIETY. Nisiulizwe kwanini tafadhali.

Nimewawekea Orodha nzima kwenye document hiyo hapo chini mjisomee.
vingi vilishajifia!
 
Hivi JamiiForums nayo ni ASASI??Manake hwachelewi kuingia kwa mbele
 
Wanaofanya haya mashirika wanalipwa mishahara na serikali? Au watawasiliana na hao wanaotoa pesa kuhudumua hiz NGO kuwa waache kutoa pesa? Sijaelewa. Twaafwaaaa.
 
Serikali ya Magufuli sio ya mchezo mchezo!

Msajili wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali ametangaza kuyafuta Mashirika takribani 1,271 kwa kuendesha shughuli zao kinyume cha Sheria ya NGO.

Mashirika hayo yamepewa siku 30 yajieleze kabla hayajafutwa kabisa.

Binafsi nimevutiwa na uwepo wa Asasi inayoitwa ACACIA DEVELOPMENT SOCIETY. Nisiulizwe kwanini tafadhali.

Nimewawekea Orodha nzima kwenye document hiyo hapo chini mjisomee.
Kuyafuta kwa kusinzia ni sahihi lakini kama ni kuwaziba mdomo haifai
 
Afute Tu ili wananchi wengi zaidi wawe jobless azidi kupandikiza chuki nchini,hii serikali ya Pombe ovyo sana
 
hivi kuna anaejali economic implications ya hili?
kwani zikiwepo tu, tunaumia nini kama taifa?
vipi walioajiriwa na haya ma ngo wende wapi na familia zao?

Hang on guys... we got families and you dont provide sh# to feed them!
 
Back
Top Bottom