Mjanga
JF-Expert Member
- Feb 13, 2011
- 1,238
- 324
Hacha kujitongozesha wewe!
Dr. Mi ni 1st yr DUCE Bsc. Ed nina hamu kubwa sana ya kufundishwa na wewe. I remember kwenye speech yako wakati wa faculy day ulikuwa so inspirational kwangu kuhusu kupenda ualimu. P'se kuna module ya mwisho EP 101 ni yako usimpe mtu mwingine b'cause mpo wawili. Pongezi pia kuanzi pgd its such a nice plan and viable one.