DUCE Family on JF - Special Thread

DUCE Family on JF - Special Thread

Pompoo

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
362
Reaction score
41
Habari Zenu wakuu.. Mimi nimechaguliwa Duce naomba kujuzwa changamoto za hiki chuo!! Pia kama kuna kubebana tukumbukane jamani
 
karbu sana kitabu kigumu sana dogo km ilivyo main campus na muce,umekuja kwa ajili ya kurelax 2,nahisi unaweza kudisco first semester
 
Habari Zenu wakuu.. Mimi nimechaguliwa Duce naomba kujuzwa changamoto za hiki chuo!! Pia kama kuna kubebana tukumbukane jamani

Vyumba ni mtaani bei 60,000 na kuendelea vyuo vya dar havina hosteli labda ukajibanze mabibo hostel km unapenda kulala kwa zamu kitandani km mfungwa
 
Vyumba ni mtaani bei 60,000 na kuendelea vyuo vya dar havina hosteli labda ukajibanze mabibo hostel km unapenda kulala kwa zamu kitandani km mfungwa

je accomdtn, admtr fees, na exm fss na acdmc fees n sh ngap kwa mwaka
 
karbu sana kitabu kigumu sana dogo km ilivyo main campus na muce,umekuja kwa ajili ya kurelax 2,nahisi unaweza kudisco first semester

Mkuu unanitisha kwakwerii!! Ila sio mbaya msuli ndio shule
 
Vyumba ni mtaani bei 60,000 na kuendelea vyuo vya dar havina hosteli labda ukajibanze mabibo hostel km unapenda kulala kwa zamu kitandani km mfungwa

Poa mkuu.. Ila sehemu ya kuishi haitanisumbua sana coz nina kauzoefu kidogo.. Naomba kujuzwa gharama zote mzpaka nafanyiwa Registration kasimu kangu kamegoma kufungua Vitu vyote Kwenye web ya Duce
 
direct costs ni kama 27000 tukiondoa tuition fee na accomodation
 
Habari Zenu wakuu.. Mimi nimechaguliwa Duce naomba kujuzwa changamoto za hiki chuo!! Pia kama kuna kubebana tukumbukane jamani

wilikuwa hapo miaka michache iliyopita changamoto kubwa niijuayo DUCE ni kunuka kwa vyoo. Sijajua kwa sasa waliopo huko wanaweza kutujuza. Pia kunachangamoto ya vyumba nyumba nyingi za keko zinavuja wakati wa masika unaweza ukawa lectutre ukakuta madesa yote yamelowa. Ndio maana mimi nilikuwa na kaaa mabibo hostel
 
Msaada wa ndg mwenye namez aniangalizie NELSON ITALANGE PETER (Bachelor of art wth edctn)
 
wilikuwa hapo miaka michache iliyopita changamoto kubwa niijuayo DUCE ni kunuka kwa vyoo. Sijajua kwa sasa waliopo huko wanaweza kutujuza. Pia kunachangamoto ya vyumba nyumba nyingi za keko zinavuja wakati wa masika unaweza ukawa lectutre ukakuta madesa yote yamelowa. Ndio maana mimi nilikuwa na kaaa mabibo hostel

Duuh Hii sasa noma inaonekana kukosekana kwa mabweni ya Duce ni tatizo kubwa.. Asante mkuu kwa kunipa mwanga na mawazo
 
mhuu duce na mi ndo chaguo langu ,but hostel ka ndo tatzo mbona ishu tena
 
Duce itanitesa sana no Hostel?? Nitaishi vp!!!!!!!
 
Duce njooni tuchange mawazo jins yakuishi ndugu!!!!!
 
wilikuwa hapo miaka michache iliyopita changamoto kubwa niijuayo DUCE ni kunuka kwa vyoo. Sijajua kwa sasa waliopo huko wanaweza kutujuza. Pia kunachangamoto ya vyumba nyumba nyingi za keko zinavuja wakati wa masika unaweza ukawa lectutre ukakuta madesa yote yamelowa. Ndio maana mimi nilikuwa na kaaa mabibo hostel

sasa hvi mambo mazuri usiwakatishe tamaa wenzio..KARIBUNI DUCE
 
Duce itanitesa sana no Hostel?? Nitaishi vp!!!!!!!

suala la hostel broo zipo hostel kama mbagala,mabibo na Duce penyewe pamoja na hostel za watu binafsi kwa nje,mimi mwenyewe sikuwa na chumba na sikupata kabsa lakin nilikaa wiki watu weng tulipata accomodation.
 
Back
Top Bottom