Candid Scope JF-Expert Member Nov 8, 2010 11,883 6,884 Oct 16, 2012 #42 Kidatu said: Jamani hili suala limefikia wapi? Click to expand... Nenda kaonane na kamati ya marekebisho ya katiba yetu ukatoe mchango wako, sasa imefikia mahala ambapo we una haki ya kuchangia nini kifanyike.
Kidatu said: Jamani hili suala limefikia wapi? Click to expand... Nenda kaonane na kamati ya marekebisho ya katiba yetu ukatoe mchango wako, sasa imefikia mahala ambapo we una haki ya kuchangia nini kifanyike.
Communist JF-Expert Member Jun 1, 2012 5,400 1,181 Oct 16, 2012 #43 Na lile suala la mwanamke mmoja kuwa na waume waili vipi?