ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Wewe una matatizo,Misri haipo kundi moja na Tanzania.Kundi C ndilo tumo wa tz, ukitazama kiukweli si kundi rahisi ukirejea kiwango chetu, cha zaidi hapa ni Dua na Maombi tu ndiyo kilichobaki kwetu watanzania angalau basi tusitoke kwa aibu.
Kundi C:
Misri
Kenya
Tanzania
Senegal
Kweli ni mistake hapo nilimaanisha AlgeriaWewe una matatizo,Misri haipo kundi moja na Tanzania.
Salah anacheza Algeria?Kweli ni mistake hapo nilimaanisha Algeria
Hao kina Bashite sio CCM??!
!
Timu Wangekabidhiwa Sisiem Tu Hii Kila Kitu Kingekwenda Sawa. Jamaa Wana Mbinu Mno Sana Za Ushindi Sasa Sijui Wanafeli Wapi Kuzitumia Kwa Taifa Stars
Hili kundi umelitoa wapiKundi C ndilo tumo wa tz, ukitazama kiukweli si kundi rahisi ukirejea kiwango chetu, cha zaidi hapa ni Dua na Maombi tu ndiyo kilichobaki kwetu watanzania angalau basi tusitoke kwa aibu.
Kundi C:
Misri
Kenya
Tanzania
Senegal
Nilimtaja kwa kutaka tu kuainisha ugumu wa tournament hii... Si kua anachezea AlgeriaSalah anacheza Algeria?
Hatuko na Misri wacha urongoKundi C ndilo tumo wa tz, ukitazama kiukweli si kundi rahisi ukirejea kiwango chetu, cha zaidi hapa ni Dua na Maombi tu ndiyo kilichobaki kwetu watanzania angalau basi tusitoke kwa aibu.
Kundi C:
Misri
Kenya
Tanzania
Senegal
Huyu kumbe sio wakwetu!!View attachment 1131485
Nilijichanganya tu najua Egypt yupo kundi A na Uganda, DrcHili kundi umelitoa wapi
Na umefanya kusudi kuiweka Misri
kama ulivyo anza na Mo sarah
samahani mkuu hii ni picha ya mtwa mkwawa au kagere..?Huyu kumbe sio wakwetu!!View attachment 1131485
samahani mkuu hii ni picha ya mtwa mkwawa au kagereHuyu kumbe sio wakwetu!!View attachment 1131485
Kundi C ndilo tumo wa tz, ukitazama kiukweli si kundi rahisi ukirejea kiwango chetu, cha zaidi hapa ni Dua na Maombi tu ndiyo kilichobaki kwetu watanzania angalau basi tusitoke kwa aibu.
Kundi C:
Misri
Kenya
Tanzania
Senegal
Sasa Mo Salah anachezea Algeria? Wewe ni Bashite wa mpiraKweli ni mistake hapo nilimaanisha Algeria
Mo yumo kwenye afcon 2019 tournamentSasa Mo Salah anachezea Algeria? Wewe ni Bashite wa mpira