Dua ya kuombea (Wagombea) Uchaguzi Mkuu??

Wataje, na dua inatarajiwa kufanyika lini?
 
BAKWATA wameandaa dua ya kuombea Uchaguzi Mkuu.

Maajabu ni kwamba Wageni rasmi ni Wagombea waliopitishwa na Chama chao kugombea Oktoba 2025 (CCM)
Mungu anasikiliza dua ya kuomba kufanikisha kuiba uchaguzi? Mbona kama siwaelei hivi. Wanamuomba Mungu ama shetani kufanikisha hilo. Jenerali ulimwengu alizungumzia udhu na janaba sijui. Uchaguzi ni haram kwanza. Wakomae uwe halal halafu ndiyo waje na dua zao. Ama sivyo tutawaona wameamua tu kufungamana na hao wagombea kwa sababu ya uislam wao bila kuangalia uhalali wa mchakato mzima wa uchaguzi.
 
Hao ni msheikh ambao wanatamani dunia kuliko akhera, wameamua kuwa machawa rasmi
Kwa uzoefu wangu mashek wa kweli ni wale wanavaa suruali fupi na kufuga ndevu .

Hawa bakwata ni mashekh ubwabwa
 
BAKWATA wameandaa dua ya kuombea Uchaguzi Mkuu.

Maajabu ni kwamba Wageni rasmi ni Wagombea waliopitishwa na Chama chao kugombea Oktoba 2025 (CCM)
Ni muhimu sana watanzania wote kushiriki dua hiyo muhimu sana kwa mustakabali wa taifa letu 🐒
 
BAKWATA wameandaa dua ya kuombea Uchaguzi Mkuu.

Maajabu ni kwamba Wageni rasmi ni Wagombea waliopitishwa na Chama chao kugombea Oktoba 2025 (CCM)

BAKWATA ni Jumuia ya CCM kawa vile Jumuiya ya Wanawake, Vijana au Wazazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…