Dua maalum kwa watu wa mjini waliotangulia!

KIM KARDASH

JF-Expert Member
Sep 21, 2011
5,139
1,139
Kwa heshima na taadhima tunapenda kuwafahamisha na kuwakaribisha katika hafla ya kuwaombea dua marafiki zetu waliofariki dunia katika kipindi cha miaka ishirini (20) hadi sasa.
Marafiki waliobaki wa BRITISH LEGEON CLUB,SAIGON CLUB KARIAKOO,iliyokuwa TAZARA Club, Kinondoni pamoja na wengine wa Leaders Club, Bamboo Club (John Fedha), Hunters, Check Point, Break Point, Rose Garden, Octa's Pub (Ubalozi wa Ufaransa), Bakulutu, Railway Club Gerezani (Singa Singa) na wengineo wengi wamejumuika kufanya tendo hili la kuwakumbuka marafiki zetu siku ya Jumamosi Tarehe 14 Januari 2012 katika viwanja vya LEADERS CLUB ( KINONDONI).


Ratiba:
Marafiki na Waalikwa Kujumuika
Hotuba fupiDua kusomwa na Sheikh na PadriChakula
Chakula
Mwisho wa Shughuli

Yafuatayo ni majina ya marehemu tunao wakumbuka: -

1 Ada Sykes,
2 Angela Madondola
,
3 Balozi Mbapila,
4 Ben Branco,
5 Bisanga Hamidu,
6 Bupe,
7 Chacha Marwa Boghas,
8 Charles Lyimo,
9 Charles Mbandwa,
10 Choggy Sly,
11 Costa Teffe,
12 Eddy (Inn By The Sea) Moahamed Mbarak Salim,
13 Eddy Sally,
14 Emanuel Rweikiza,
15 Eugine Kagolo,
16 Farida Masoli,
17 Frank Mutani,
18 Four Cash,
19 Gasper Akili,
20 Geofrey Dahal,
21 George Mazulla,
22 Haji (Tanga),
23 Hamphrey Akena,
24 Hilda (Naomba 100),
25 Ippy Malechela,
26 Jimmy Mahimbo,
27 Joshua International
28 Juma Ngida,
29 Kalio,
30 Karuhinda,
31 Ndala Kasheba,
32 Kimambi,
33 Kimambo NCCR,
34 Levis (G8),
35 Majuto Tazara,
36 Manfred Kapinga,
37 Mangappy,
38 Mariam Donna Summer,
39 Mavalla,
40 Mbiku
41 Mfanga,
42 Mike Maro,
43 Mine,
44 Mr. Emanuel Mbando,
45 Mr. Labarny,
46 Mussa Ngoda,
47 Mzee Assey,
48 Mzee Bashwan,
49 Mzee Joseph,
50 Mzee Khatib Siraji,
51 Mzee Mujaya,
52 Mzee Mushi
53 Mzee Samuel,
54 Mzee Shetta,
55 Mzee Soud,
56 Mzee Tegissa,
57 Mzee Yusuf Mandevu,
58 Nassor Malocho,
59 Ndealle Makere,
60 Ng'itu,
61 Nusura,
62 Omary Sykes,
63 Omary Urembo,
64 Othman Maraha
65 Othman Matusi,
66 Othman Rungu (Matai),
67 Pettie,68 PJ (Paul Mdachi),
69 Rajab Mwajasho,
70 Ramadhan Majungu,
71 Ray Abdu,
72 Rhoda Mbandwa,
73 Rose Hosea (Mwajasho),
74 Royal (Dotto)
75 Royal (Kulwa),
76 Rukia Mwajasho,
77 Saad Suleiman (Tazara),
78 Saidi Machupi,
79 Sanga
80 Shaaban Satto,
81 Shaan Aspro,
82 Super Mafuru,
83 Tecla (TAZARA CLUB Staff),
84 Temu Tuffe
85 Tina Mzena,
86 Tomito,
87 Winston,
88 Zaki Aman,
89 Zumu,
90 Swetu Fundikira,
91 Mfinanga (G8),
92 Saidi Bahamari,
93 Titus Sam Kamata,
94 Azaria,
95 Engineer Ulimali,
96 Asha Yanga,
97 Mr. Mbando


MUNGU AWALAZE MAHALA PEMA PEPONI WOTE WALIOTANGULIA


"AMEN"
 
Du!tumetoka mbali jamani. Ahsante sana Mkuu kwa taarifa hii muhimu,Moody Pizzaro ndo kanipa habari hii.Tutakuwa pamoja.
E Mola warehemu marafiki zetu wote waliotangulia mbele ya haki!
Ameen.
 
na sisi SAIGON huwa tuna khitimisha lakini si katika kumbi za baa kama hawa walioandaa hii

Im keen kujua Sheikh gani atafanya hii dua na wagala
 
na sisi SAIGON huwa tuna khitimisha lakini si katika kumbi za baa kama hawa walioandaa hii

Im keen kujua Sheikh gani atafanya hii dua na wagala

Ni katika "viwanja" vya leaders sio katika bar ya leaderz,watu wa saigon pia wapo British Legeon usiisahau hii pia kamanda..
 
na sisi SAIGON huwa tuna khitimisha lakini si katika kumbi za baa kama hawa walioandaa hii

Im keen kujua Sheikh gani atafanya hii dua na wagala
jamani,naomba tusiingize siasa katika hili,let us keep it simple as we have always done(maana sio mara yetu ya kwanza kusoma dua hii Leaders).
hata marehemu cpt Mazula tulimuagia viwanja hivi jamani.
 
Da! inahuzunisha sana kwa kweli,wenzetu tulikua tunakula na kunywa nao pamoja wamezimika kama mshumaa kwenye upepo mkali na tumeshawasau,asante ROMANTIC kwa kutukumbusha ndugu zetu,lililopangwa na mungu halipingiki,wao mbele yetu sisi nyuma yao,mengi yalisemwa juu ya vifo vyao lakini mungu ndie anaejua sababu ya vifo vyao...
 
jamani,naomba tusiingize siasa katika hili,let us keep it simple as we have always done(maana sio mara yetu ya kwanza kusoma dua hii Leaders).
hata marehemu cpt Mazula tulimuagia viwanja hivi jamani.

Tangu lini waislam na wagala wakakhitimisha kwa pamoja?

Na leaders nijuavyo mimi ni baa sasa hayo mengine mnayotaka kuuingiza ingizeni tuu lakini ndio ukweli wenyewe
 
jamani,naomba tusiingize siasa katika hili,let us keep it simple as we have always done(maana sio mara yetu ya kwanza kusoma dua hii Leaders).
hata marehemu cpt Mazula tulimuagia viwanja hivi jamani.

Dua ya mwaka jana walijazana wakristo ndio maana tunauliza leo waislam wameingizwa na tunaambiwa kutakuwa na sheikh sasa tunauliza je hao viongozi wa kanisa nao watasoma Yasini?

Unless wamchukue yule sheikh wa BAKWATA wa mkoa lakini hakuna muislam mwnye kujua dini yake anaweza kushiriki kwenye shughuli kama hii
 
Tangu lini waislam na wagala wakakhitimisha kwa pamoja?

Na leaders nijuavyo mimi ni baa sasa hayo mengine mnayotaka kuuingiza ingizeni tuu lakini ndio ukweli wenyewe

Basi wewe sio mzee wa saigon ninayoifahamu mimi,simba au yanga hawajawahi kufanya hivyo?dua ya mwaka jana walijazana wakristo?kwani aliyetoa idea si ni sisco au hufahamu sisco ni dini gani?we utakua umekuja baadae sana mjini aise,hizi club zote anzia saigon mpaka british huwa hazina dini,na ukumbuke hii sio shughuli ya kidini isipokua wahusika wana dini zao
 
Basi wewe sio mzee wa saigon ninayoifahamu mimi,simba au yanga hawajawahi kufanya hivyo?dua ya mwaka jana walijazana wakristo?kwani aliyetoa idea si ni sisco au hufahamu sisco ni dini gani?we utakua umekuja baadae sana mjini aise,hizi club zote anzia saigon mpaka british huwa hazina dini,na ukumbuke hii sio shughuli ya kidini isipokua wahusika wana dini zao

Kwani sisco ni kiongozi wa kidini?
 
Kuwakumbuka waliotangulia mbele ya haki jambo zuri sana ila namna gani tuwakumbuke,hii ndo hoja.Ina maana waandaaji hawajui wapo wakristu na waislamu ktk jambo hili zuri?Na wote wana namna zao za kuwakumbuka wale waliotangulia.Kwann ifanywe Leaders Club?Au kwa kua wapo waislam majina wanaopiga dubei?Waandaaji hawakutumia busara vinginevyo wanawatega Waislam.
 
Kwa heshima na taadhima tunapenda kuwafahamisha na kuwakaribisha katika hafla ya kuwaombea dua marafiki zetu waliofariki dunia katika kipindi cha miaka ishirini (20) hadi sasa.
Marafiki waliobaki wa BRITISH LEGEON CLUB,SAIGON CLUB KARIAKOO,iliyokuwa TAZARA Club, Kinondoni pamoja na wengine wa Leaders Club, Bamboo Club (John Fedha), Hunters, Check Point, Break Point, Rose Garden, Octa's Pub (Ubalozi wa Ufaransa), Bakulutu, Railway Club Gerezani (Singa Singa) na wengineo wengi wamejumuika kufanya tendo hili la kuwakumbuka marafiki zetu siku ya Jumamosi Tarehe 14 Januari 2012 katika viwanja vya LEADERS CLUB ( KINONDONI).


Ratiba:
Marafiki na Waalikwa Kujumuika
Hotuba fupiDua kusomwa na Sheikh na PadriChakula
Chakula
Mwisho wa Shughuli

Yafuatayo ni majina ya marehemu tunao wakumbuka: -

1 Ada Sykes,
2 Angela Madondola
,
3 Balozi Mbapila,
4 Ben Branco,
5 Bisanga Hamidu,
6 Bupe,
7 Chacha Marwa Boghas,
8 Charles Lyimo,
9 Charles Mbandwa,
10 Choggy Sly,
11 Costa Teffe,
12 Eddy (Inn By The Sea) Moahamed Mbarak Salim,
13 Eddy Sally,
14 Emanuel Rweikiza,
15 Eugine Kagolo,
16 Farida Masoli,
17 Frank Mutani,
18 Four Cash,
19 Gasper Akili,
20 Geofrey Dahal,
21 George Mazulla,
22 Haji (Tanga),
23 Hamphrey Akena,
24 Hilda (Naomba 100),
25 Ippy Malechela,
26 Jimmy Mahimbo,
27 Joshua International
28 Juma Ngida,
29 Kalio,
30 Karuhinda,
31 Ndala Kasheba,
32 Kimambi,
33 Kimambo NCCR,
34 Levis (G8),
35 Majuto Tazara,
36 Manfred Kapinga,
37 Mangappy,
38 Mariam Donna Summer,
39 Mavalla,
40 Mbiku
41 Mfanga,
42 Mike Maro,
43 Mine,
44 Mr. Emanuel Mbando,
45 Mr. Labarny,
46 Mussa Ngoda,
47 Mzee Assey,
48 Mzee Bashwan,
49 Mzee Joseph,
50 Mzee Khatib Siraji,
51 Mzee Mujaya,
52 Mzee Mushi
53 Mzee Samuel,
54 Mzee Shetta,
55 Mzee Soud,
56 Mzee Tegissa,
57 Mzee Yusuf Mandevu,
58 Nassor Malocho,
59 Ndealle Makere,
60 Ng'itu,
61 Nusura,
62 Omary Sykes,
63 Omary Urembo,
64 Othman Maraha
65 Othman Matusi,
66 Othman Rungu (Matai),
67 Pettie,68 PJ (Paul Mdachi),
69 Rajab Mwajasho,
70 Ramadhan Majungu,
71 Ray Abdu,
72 Rhoda Mbandwa,
73 Rose Hosea (Mwajasho),
74 Royal (Dotto)
75 Royal (Kulwa),
76 Rukia Mwajasho,
77 Saad Suleiman (Tazara),
78 Saidi Machupi,
79 Sanga
80 Shaaban Satto,
81 Shaan Aspro,
82 Super Mafuru,
83 Tecla (TAZARA CLUB Staff),
84 Temu Tuffe
85 Tina Mzena,
86 Tomito,
87 Winston,
88 Zaki Aman,
89 Zumu,
90 Swetu Fundikira,
91 Mfinanga (G8),
92 Saidi Bahamari,
93 Titus Sam Kamata,
94 Azaria,
95 Engineer Ulimali,
96 Asha Yanga,
97 Mr. Mbando


MUNGU AWALAZE MAHALA PEMA PEPONI WOTE WALIOTANGULIA


"AMEN"

Sasa mkuu, hii mbona ni ibada ya wafu ambayo biblia inakataza? Hayo maombi yata base wapi? na ni kwa Mungu yupi?
 
Back
Top Bottom