Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,258
- 13,367
Jf bhana!?? Kila mtu ni mtaalamu wa mapenz,kila mtu analipwa mshahara mkubwa, kila mtu anadushelele kubwa. Sasa mbona wanawake wanalalamika kila kukicha juu ya udhaifu wa kitandan kwa maana ya kutofikishwa? Hao wenye udhaifu hapo jf? Acha kutudanganya bhana hizo stor za kufikirika