Du hu upigaji picha

Du hu upigaji picha

sayansi na mateke yanayokujia...
mmmhhhh balaa
 
wapo wengi wanaopiga picha tukio,wengine ni kumbukumbu zao binafsi kwenye simu zao (nahisi hawa ndio wengi kwenye hilo tukio) na wengine ni waandishi wa habari so picha kwao no lazima........ tushange kidogo tu,nakumbuka walivyokuja brazil karibu kila shabiki aliyekuwepo uwanjani alitaka kuwapiga picha kwa simu yaka. vuta taswira kama hiyo inakuwaje.
 
unaweza kuwa unafukuzwa na simba mwenzako badala ya kukupa usaidizi akachukua video camera na kuanza kurekodi shughuli nzima mpaka utakapomalizika kutafunwa...ndo dunia tuliofika!
 
Manumbu ni kweli tumeshafikia huko. kuna mwandishi wa habari na mpiga picha photojournalist alishinda tuzo ya Pulitzer award kwa picha bora ambayo ilikuwa inamwonyesha mtoto mwenye utapiamlo mkali ambaye alikuwa hawezi hata kutembea, alikuwa anatambaa kwenda kwenda kwenye kituo cha kutolea msaada wa chakula km moja hivi mbele yake. Tai kwa kujua kwamba lazima atakufa kabla hajafika kambini wakawa wamejaa angani wanamsindikiza ili akifa wale mzoga wake. Jamaa alipiga picha akapata zawadi, lakini baadae wakamwuliza alifanya nini baada ya kupiga picha kuhakikisha kwamba anachangia katika jitihada za mtoto yule kupata msaada? hakujibu maana yeye alisepa zake kuwahi town kutuma picha CNN, BBC, Reuters na kwingineko. nafsi ilimsuta sana maana anajua fika dogo ajigeuka mlo wa wale scavengers, akaamua kujiua!! Nadhani kuna watu wanajua hii stori watatuwekea link yake hapa.
 
unaweza kuwa unafukuzwa na simba mwenzako badala ya kukupa usaidizi akachukua video camera na kuanza kurekodi shughuli nzima mpaka utakapomalizika kutafunwa...ndo dunia tuliofika!


Nimeipenda hii mkuu!
 
ni kweli mkuu..inasikitisha sana..ngoja nitafute link maana naikumbuka hii habari
Manumbu ni kweli tumeshafikia huko. kuna mwandishi wa habari na mpiga picha photojournalist alishinda tuzo ya Pulitzer award kwa picha bora ambayo ilikuwa inamwonyesha mtoto mwenye utapiamlo mkali ambaye alikuwa hawezi hata kutembea, alikuwa anatambaa kwenda kwenda kwenye kituo cha kutolea msaada wa chakula km moja hivi mbele yake. Tai kwa kujua kwamba lazima atakufa kabla hajafika kambini wakawa wamejaa angani wanamsindikiza ili akifa wale mzoga wake. Jamaa alipiga picha akapata zawadi, lakini baadae wakamwuliza alifanya nini baada ya kupiga picha kuhakikisha kwamba anachangia katika jitihada za mtoto yule kupata msaada? hakujibu maana yeye alisepa zake kuwahi town kutuma picha CNN, BBC, Reuters na kwingineko. nafsi ilimsuta sana maana anajua fika dogo ajigeuka mlo wa wale scavengers, akaamua kujiua!! Nadhani kuna watu wanajua hii stori watatuwekea link yake hapa.
 
baada ya hapo kila mtu anakimbilia facebook ku-upload
 
mwandishi wa habari ndio kiboko,anakubali apigwe lkn patner wake alipige picha tukio
 
Back
Top Bottom