DSTV wapandisha bei

Kuna watu wanaitwa beIn Sports, ambayo tawi la Al Jazeera ya Doha, unaweza kununua decorder yao na kutafuta mafyndi wajanja wakakufungia na ukawa unalipia online. Japo beIn Sports haina rights z kurusha EPL ukanda wa Africa Mashariki, but still inaonekana na wana match analyisis nzuri kuliko Super Sport. Jamaa wapo vizuri sana aw beIn Sporta.
 

Kiukweli, EPL iliyoshiba kihalali huwezi iona kwa 12500, 15000, 10000, au 20000.
 
Kwa Tanzania bado hakuna king'amuzi kinachoshndana na DSTV
 
Kaka hiyo ni story ya kijiweni. GTV waligongwa na global financial crisis.
 

Ni PM mkuu. Nataka nitafute hiyo kitu.
 
Emanuel tv naipata kwenye fta, kwa kutumia fta receivers
 
Dstv wamepandisha bei kuanzia April 9 vifurushi vimepanda ile ya elfu 56 inakua elf ,66 premium kile kikubwa kitaakua 168000
Hvi ni kingamuzi gani napata Emmanuel TV vizuri na price poa nasikia ting iko poa Sana kwa wale wazoefu mtujuze

Zuku kulipia 130000
 

Unaweza kunirushia namba ya mhusika,nataka nifunge hiyo.
 
Kundisha being DSTV no sisi kujitakia nchi,Nina imani TBC iuwezlo wa kuwa kingamuzi na kutuonyesha yote hayo ya DSTV kwa being poa. Ebu serikali yetu iwape pesa TBC ifanye mambo saws.

Hongera Mkuu kwa kuanza kutumia ka-simu ka touch!!
 

Ili uwe unaangalia kuchkuch hotae😀 watu serious wanaangalia educative progms ambazo unazipata dstv mf science channels,michezo aina zote ya uhakika ikiwemo epl,music from across the globe,documentary chnls,intl.news chnls almost 60% zimo dstv,sasa huyo azam mbona anazo chache,ngoja akue tutahamia tu kwa sasa zamu ya dstv
 
azamtv tumemvumiliaaaaa mwisho msimu huu skysport na BETwameshanunua raets kwa msimu ujao skysport kanunua dora milioni 500 bet dora milioni 600 na wao ndio huuza kwa dstv bein sport indiasport chinasport na wengine watauza baada ya msimu huu kuisha sasa azamtv akishindwa kununua kwa ajili ya msimu ujao wa ligi itakuwa azamtv kwishneyi
 
Kwakweli bora kuingia humu sasaivi mkuu una experience yoyote na hii qsat

Usijaribu kuingia huko ni usanii tu,kama unahitaji nakuuzia cha kwangu kwa 150,000 .ni full majanga ila wanaouza wana promo hatari.
 
Usijaribu kuingia huko ni usanii tu,kama unahitaji nakuuzia cha kwangu kwa 150,000 .ni full majanga ila wanaouza wana promo hatari.

Thnx mkuu kwa t aarifa
 
Ina maana kama DSTV explora tulikuwa tunalipa 159000, sasa tunalipa 185,000 khaaa huu ni uhuni sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…