Jamani GTV mpo wapi? hebu rudini mfanye yenu banaa maana mkaburu anatuchuna mpaka ngozi sasa!
Wameongeza dola 10 kila package
Dstv wamepandisha bei kuanzia April 9 vifurushi vimepanda ile ya elfu 56 inakua elf ,66 premium kile kikubwa kitaakua 168000
Hvi ni kingamuzi gani napata Emmanuel TV vizuri na price poa nasikia ting iko poa Sana kwa wale wazoefu mtujuze
asilimia kubwa ya wanaonunua hii ni kwasababu ya mpira tu.
Siku watanzania wakipata mbadala wa kuangalia mpira kwa bei ya chini. Dstv wanasaga meno.
Dstv wamepandisha bei kuanzia April 9 vifurushi vimepanda ile ya elfu 56 inakua elf ,66 premium kile kikubwa kitaakua 168000
Hvi ni kingamuzi gani napata Emmanuel TV vizuri na price poa nasikia ting iko poa Sana kwa wale wazoefu mtujuze
ujanja ni kununua mwaka mzima