DSTV wameanza ukanjanja, hawataonyesha mechi Ngao ya Jamii England

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Jan 1, 2017
21,123
46,135
Jumapili hii kuna mchezo wa ngao ya jamii pale England, kati ya Man City Vs Chelsea katika uwanja wa Wembley. Mechi hiyo ni ishara ya ufunguzi wa msimu mpya wa EPL.

Cha kusikitisha ni kwamba, Dstv hawataonyesha mechi hiyo kwasababu ambazo hawajiziweka wazi. Pengine kukosa mshindani kumemfanya Dstv abweteke na kuamua kututesa.

Hivyo wapenzi wa soka, mjiandae kisaikolojia kwa jumapili hii, msipate shida ya kuzunguka katika vibanda umiza.
 
Ni kweli kupitia accout yao ya IG wamethibitisha kuwa mechi ya jpili ya ngao ya jamii ligi ya wingereza jpili hii hawataonyesha na baadala Yake Wataonyesha mechi ya kirafiki ya. Buyern Munich's vs man united
 
Dhuuuuu Sasa wamefanya hii ngao ya jamii kama vle carabao
 
Pengine hili ndio jibu, inawezekana huyo mhusika huko uingereza ametofautisha ligi ya uingereza na ngao ya hisani kama mashindano mawili tofauti, ili uonyeshe ngao ya hisani inabidi uilipie kipekee pengine hela nyingi zaidi,
Kabsa aiseee hii ngao ya jamii naona
Fa wameiweka kando na EPL kabsa
 
Jumapili hii kuna mchezo wa ngao ya jamii pale England, kati ya Man City Vs Chelsea katika uwanja wa Wembley. Mechi hiyo ni ishara ya ufunguzi wa msimu mpya wa EPL.

Cha kusikitisha ni kwamba, Dstv hawataonyesha mechi hiyo kwasababu ambazo hawajiziweka wazi. Pengine kukosa mshindani kumemfanya Dstv abweteke na kuamua kututesa.

Hivyo wapenzi wa soka, mjiandae kisaikolojia kwa jumapili hii, msipate shida ya kuzunguka katika vibanda umiza.
This is too low kwa Dstv. Nimeangalia ratiba kwenye runinga yangu kuanzia SS1 -12 hakuna. Nikajipa moyo kwamba ratiba zitabadilika baadaye. Kumbe hawaonyeshi kabisa? Hata channel za Kiarabu? Tough day today...
 
Ni kweli kupitia accout yao ya IG wamethibitisha kuwa mechi ya jpili ya ngao ya jamii ligi ya wingereza jpili hii hawataonyesha na baadala Yake Wataonyesha mechi ya kirafiki ya. Buyern Munich's vs man united
SS3 wataonyesha Bayern Munich na Man Utd saa tatu usiku.....
 
Back
Top Bottom