Dstv Tanzania inasikitisha sana; Channel za news 7 za Kenya, channel ya news 1 ya Tanzania

Naona sasa hivi hata chanel za superspot 10,9 na 7 kwenye kifurushi cha 19,900/- wamezitoa,hawa jamaa ukishaingia nao tu mkataba wanaanza mbwembwe...
 
Uko sahihi kabisa,waliamua FTA ibakia TBC pek yake...
 
Ndio. Hilo la kuuliza tena? Bnyeza link HII HAPA uone channels zilizopo. Mie na deal na mambo hayo, naongea uhakika

Duuh, roho imeniuma nimekuwa nikipigwa pesa kila mwezi... tatizo yale madishi makubwa kwenye nyumba za kupanga sio poa!
 
Acheni kulete siasa kwenye mambo yasiyo hitaji siasa. Uwezi kata driving licence class b alafu ukataka uendesha Gari ya mizigo kwa vile unaweza kuendesha gari kubwa.

DSTV leseni yake hairuhusu kuonyesha channel za ndani zaid ya channel zinazomilikiwa na jamhuri tu. Na haimzui kukata lesen itakayo mruhusu kuonyesha channel za ndani (free to air channel) bali ni ukaidi wake aligoma kuzionesha bure nao waka mwambia azitoe.
 
Mi nilishangaa eti ITV haipo dstv,,siku hizi dstv naingia kuangalia series tu za Telemundo au action za studio universal.
 

Kama leseni haimruhusu kurusha channel za ndani mbona kaweka wasafi, clouds plus na tve? Ambazo siyo za jamhuri? Au ni FTA tu ndo haruhusiwi? Tunachanganyana
 

Nani alikubali kuzionesha bure?
 
Kama leseni haimruhusu kurusha channel za ndani mbona kaweka wasafi, clouds plus na tve? Ambazo siyo za jamhuri? Au ni FTA tu ndo haruhusiwi? Tunachanganyana
Hizo sio FTA ndio maana unaziona zimo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…