Baada ya TCRA kuzuia local channels, Chaneli za Kigeni zinazotumia Kiswahili zashika usukani. Kenya yatawala soko

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,752
218,339
Sifahamu aliyewashauri TCRA kutenda waliyoyafanya , kama ni mkono wa mtu basi kafanikiwa na hongera zake , Kiukweli pamoja na ving'amuzi vingi kubaki na TBC pekee watanzania hawataki kabisa kuangalia Channel hii , na kwa uchunguzi wangu wa valuvalu nilioufanya unaonyesha kwamba ukitaka taarifa zako zisiwafikie walengwa basi tangaza TBC 1 , bado sijafahamu hasa kisa cha watanzania kuisusia TV hii inayoendeshwa kwa kodi zao.

Lakini cha ajabu sasa Channel za Kiswahili kutoka Nairobi zikiwemo K24 , KBC , KTN NEWS zikiongozwa na KTN ndio zinazotazamwa mno na watanzania hasa wanaotumia AZAM na DSTV channels zenye watazamaji lukuki nchini Tanzania

Nachukua nafasi hii kuwashauri wafanyabiashara wenzangu kujaribu kutangaza bidhaa zao na Channels kutoka Kenya maana ndio zinazobamba hasa nchiniTanzania .
 
MImi naangalia sana the stiry of kawangare. Maisha magic east. Nishasahau kama nipo Tanzania.
Hii ni kwa sababu ya upumbavu wa viongozi wetu.

Mpaka nikienda dukani naanza kununua kimbo, royco mchuzi mix. Yani najiona mkenya kabisa. Imebaki tu kuhamia Kenya.

Clouds 360 nishaisahau kabisa kwa sababu ya kenge hawa na walaaniwe kabisa
 
MImi naangalia sana the stiry of kawangare. Maisha magic east. Nishasahau kama nipo Tanzania.
Hii ni kwa sababu ya upumbavu wa viongozi wetu.

Mpaka nikienda dukani naanza kununua kimbo, royco mchuzi mix. Yani najiona mkenya kabisa. Imebaki tu kuhamia Kenya.

Clouds 360 nishaisahau kabisa kwa sababu ya kenge hawa na walaaniwe kabisa
Ubarikiwe sana mkuu , hujakosea .
 
MImi naangalia sana the stiry of kawangare. Maisha magic east. Nishasahau kama nipo Tanzania.
Hii ni kwa sababu ya upumbavu wa viongozi wetu.

Mpaka nikienda dukani naanza kununua kimbo, royco mchuzi mix. Yani najiona mkenya kabisa. Imebaki tu kuhamia Kenya.

Clouds 360 nishaisahau kabisa kwa sababu ya kenge hawa na walaaniwe kabisa
Mimi nimehamia Bollywood
 
Nafikiri hatua za TCRA ilikuwa ni kwa faida ya walalahoi ambao sometimes kulipia hata package ndogo ni shida.

Kama kuna taratibu zilikiukwa ni vizuri tukaunga mkono hili ingawa tunakosa tv zetu pendwa. Kama local channel zile tano zitakuwa bure haitakuwa jambo dogo wakuu.

Hebu wakati mwingine tujue nini tunapaswa kusimama na serikali na wapi tukosoe. Kama ipo njia nyingine muafaka kwa serikali kuzibana hizi taasisi tushauri lakini binafsi naona itasaidia walalahoi ambao kulipia kila mwezi si rahisi.
 
ila mimi kwa ufahamu wangu,naona kama TCRA wako sawa walivyo fanya sema viburi vya jamaa hawa ndo wametukomoa sijui sijaelewa, yani nafahamu kwamba channel zote local za ndani zilitakiwa ziwe free alafu za njee ndo ulipie kama unataka yani kama zamani tulivyo kua kwa analog ukitoa anttena yako njee unapata channel bure, ukitaka zanjee una nunua kingamuzi na kulipia ndo nilivyo kua najua mimi,sasa hivi vingamuzi famous wamegoma.
 
Sifahamu aliyewashauri TCRA kutenda waliyoyafanya , kama ni mkono wa mtu basi kafanikiwa na hongera zake , Kiukweli pamoja na ving'amuzi vingi kubaki na TBC pekee watanzania hawataki kabisa kuangalia Channel hii , na kwa uchunguzi wangu wa valuvalu nilioufanya unaonyesha kwamba ukitaka taarifa zako zisiwafikie walengwa basi tangaza TBC 1 , bado sijafahamu hasa kisa cha watanzania kuisusia TV hii inayoendeshwa kwa kodi zao.

Lakini cha ajabu sasa Channel za Kiswahili kutoka Nairobi zikiwemo K24 , KBC , KTN NEWS zikiongozwa na KTN ndio zinazotazamwa mno na watanzania hasa wanaotumia AZAM na DSTV channels zenye watazamaji lukuki nchini Tanzania

Nachukua nafasi hii kuwashauri wafanyabiashara wenzangu kujaribu kutangaza bidhaa zao na Channels kutoka Kenya maana ndio zinazobamba hasa nchiniTanzania .
Utafiti wako umeufanya kutoka wapi, usitujaze maneno, mbona mi hizo sijawah kuziangalia, nacheki fox, natgeo channel, bbc, na zingine za kizungu, je utasema mi sihusiki kwenye utafiti huo
 
ila mimi kwa ufahamu wangu,naona kama TCRA wako sawa walivyo fanya sema viburi vya jamaa hawa ndo wametukomoa sijui sijaelewa, yani nafahamu kwamba channel zote local za ndani zilitakiwa ziwe free alafu za njee ndo ulipie kama unataka yani kama zamani tulivyo kua kwa analog ukitoa anttena yako njee unapata channel bure, ukitaka zanjee una nunua kingamuzi na kulipia ndo nilivyo kua najua mimi,sasa hivi vingamuzi famous wamegoma.
Ndo hivyo mkuu, channel za ndani zote free, ni kiburi tu cha wenye visimbusi wala sio effect ya tcra, tuwalaumu wenye visimbusi jamani kwa kuvunja mkataba wao sio tcra
 
ndo mimi nilikua na waza hapo, iwe kama zamani tuh mlalahoi na anttena yake alikua anapata free channels habari na michezo ya nyumani hakosi asa analog since imekuja shida nyumbani umeme,maji,kingamuzi nacho ulipe inaumiza saana,
Tuwalaumu wenye visimbusi kwa kutuchinjia baharini, watupe stesheni zetu free km zamani, sio TCRA, wenye visimbusi tunataka stesheni zetu zirudi
 
Nafikiri hatua za TCRA ilikuwa ni kwa faida ya walalahoi ambao sometimes kulipia hata package ndogo ni shida. Kama kuna taratibu zilikiukwa ni vizuri tukaunga mkono hili ingawa tunakosa tv zetu pendwa. Kama local channel zile tano zitakuwa bure haitakuwa jambo dogo wakuu. Hebu wakati mwingine tujue nini tunapaswa kusimama na serikali na wapi tukosoe. Kama ipo njia nyingine muafaka kwa serikali kuzibana hizi taasisi tushauri lakini binafsi naona itasaidia walalahoi ambao kulipia kila mwezi si rahisi.
Haina haja ya kwenda digital kama walijua tunahitaji vya bure
 
Back
Top Bottom