Sasa ni bora nilipe Azam tu maana Azam la liga ndo uwanja wa nyumbanLa Liga inaanza leo. Tulia utaona
Mkuu umetisha napata burudan hapa.Hapa naangalia Epl (Liverpool Vs Crystal palace) kupitia Azam Tv,burudani kwa wote
Sent using Jamii Forums mobile app
Umetisha baba nimecheki gemu japo nimeikuta dakika ya sabini,huwa wanaonyesha gemu zote au moja kwa siku?
Mkuu wanaonyesha mara kwa mara?Hapa naangalia Epl (Liverpool Vs Crystal palace) kupitia Azam Tv,burudani kwa wote
Sent using Jamii Forums mobile app
Rai Italia ipo Azam pia hiiUkitaka kuangalia Serie A kwenye DSTv kuna channel inaitwa Rai Italia, unaangalia Serie A Live
Vp hawa jamaa wa Azam Tv sasa hivi wanaonesha EPL?Hapa naangalia Epl (Liverpool Vs Crystal palace) kupitia Azam Tv,burudani kwa wote
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka kuangalia Serie A kwenye DSTv kuna channel inaitwa Rai Italia, unaangalia Serie A Live
Halafu Tv one Si ioni kwenye Azam Tv. Wameiondoa?Ga
Game moja tu ya jumamosi through rts 1
Ha ha ha ha nmecheka sana
picha ya kichina au vipi mkuu?
Sidhani kama ni kweli wewe ni mdau wa DSTV miaka 6 then hujui ligi wanazonyesha Kwa package uliyolipia DSTV unapaswa kuona EPL,La Liga,Serie A,Champions League,Uropa League na nyinginezo ligi ambazo huwezi kuona ni Bundesliga na Ligue 1Habari wakuu,, mim ni mdau mkubwa wa Dstv nina miaka sita natumia,miaka iliopita Dstv walikuwa wanaonyesha lig mbalimbali,sasa msimu nimelipa kifurushi cha 122,500. Hivi ni kwel Dstv haionyeshi lig zingine? Na je ntawezaje kuona lig kama Bundesliga?
Sent using Jamii Forums mobile app
jamii forum usipocheka bas
Dstv wanazengua sana sasa ivi zamani ulikuwa una angalia epl, la liga, bundersliga na serie A na mechi zote za UEFAHabari wakuu,, mim ni mdau mkubwa wa Dstv nina miaka sita natumia,miaka iliopita Dstv walikuwa wanaonyesha lig mbalimbali,sasa msimu nimelipa kifurushi cha 122,500. Hivi ni kwel Dstv haionyeshi lig zingine? Na je ntawezaje kuona lig kama Bundesliga?
Sent using Jamii Forums mobile app
sema uangalie kwa uhuru kama zamani wana mtindo wa kuchagua game so ikitokea cku juve, napoli, inter, ac milan au roma zinacheza mda mmoja utaangalia game moja tu za hao top team ila km wanacheza mda tofauti ndo uta enjoyUkitaka kuangalia Serie A kwenye DSTv kuna channel inaitwa Rai Italia, unaangalia Serie A Live