Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 26,534
- 61,964
Pamoja na mapungufu ya Dstv, huu wimbo wa “Azam akipata haki ya EPL na UCL” ni mwaka wa ngapi sasa mnaimba na bado hakuna dalili ya kutimia?Dstv ukiachana na EPL na Champions league matches hawana cha kuoffer kwa fans wake imagine CAF Champions league hawataonyesha games zao AZAM akipata tender ya kuonesha EPL na Champions league fixtures kesho yake mapema asubuhi nitaliuza dish Lao kwa watu wengine
Wanayo ila huwezi kuona kwa 60k. Mpaka ulipe almost 80kKumbe safari hii hawana CCL? Nilikua na mpango wa kununua Dstv kwa kuchagizwa na hii michuano hasa game za usiku, sinunui tena
Hawana bhana, acha ubishiWanayo ila huwezi kuona kwa 60k. Mpaka ulipe almost 80k
80k ni kifurushi ganiWanayo ila huwezi kuona kwa 60k. Mpaka ulipe almost 80k
Mimi natumia DSTV ndugu. Chanel number 226 na 222 ndio huonyesha UCL. Kama kuna match nyingi kwa pamoja wanaonyesha Chanel namba 223, 224, 225, 227 mpaka 228 na hizi utaziona ukiwa umelipa 60k.Hawana bhana, acha ubishi
Compact Plus80k ni kifurushi gani
Kwani nani hatumii DStv ndugu? Hapa wanazungumzia CCL na sio UCLMimi natumia DSTV ndugu. Chanel number 226 na 222 ndio huonyesha UCL. Kama kuna match nyingi kwa pamoja wanaonyesha Chanel namba 223, 224, 225, 227 mpaka 228 na hizi utaziona ukiwa umelipa 60k.
Ila pamoja na kuziona hawawezi kukuonyesha zile Big Matches au timu za England kwakuwa zinamvuto wa kipekee kwahiyo wataweka kwenye kifurushi cha 80k ambacho ni Compact Plus
DSTV wako vizuri sana sema ndo wana beii balaaa..Mimi natumia DSTV ndugu. Chanel number 226 na 222 ndio huonyesha UCL. Kama kuna match nyingi kwa pamoja wanaonyesha Chanel namba 223, 224, 225, 227 mpaka 228 na hizi utaziona ukiwa umelipa 60k.
Ila pamoja na kuziona hawawezi kukuonyesha zile Big Matches au timu za England kwakuwa zinamvuto wa kipekee kwahiyo wataweka kwenye kifurushi cha 80k ambacho ni Compact Plus
Nakumbuka huonyesha Chanel No 229. FuatiliaKwani nani hatumii DStv ndugu? Hapa wanazungumzia CCL na sio UCL
Wanatakiwa wabadilike kutokana na upinzani uliomoDSTV wako vizuri sana sema ndo wana beii balaaa..
yani Azam wakiweza kuonesha EPL bhasi dstv kwishaaa...Wanatakiwa wabadilike kutokana na upinzani uliomo
Nakumbuka huonyesha Chanel No 229. Fuatilia
Kinachoongelewa hapa we hukielewi inaonyesha.Compact Plus
Ila gharama za vifurushi zitapanda sana kama akiamua kuwekeza kwenye epl na uefa sasa kifurushi kikubwa anauza elfu 30+ akiweka hayo mashindano makubwa bei inaweza kufika 90+Wajitafakari sana muda si mrefu tutawakimbia sijajua kwa nini mzee Bakhresa haleti michuano ya EPL na Champions league kwenye Azam akifanikiwa hili ataimaliza DSTV
Wengine ukisema football [emoji460]️ tunaiwaza DSTV ila kiukweli sijajua uongozi wao kwa sasa nani ni Mkurugenzi pale naona amefeli ukiacha EPL na Champions league ambayo wanajivunia hawana la ziada ipo siku competition itatokea tu ipo sikuKwa hili wanatakiwa kujipanga kweli. Maana watapoteza wateja sana wanadhani wa Tanzania waliowateja wao wanapenda Tamthiliya zao basi. DStv wengi hununua kwa ajili ya Super Sports channels.
Sasa Azam anaenda kujichukulia wateja na vile kuna ving'amuzi vinavotumia antena vinapatikana kwa bei ndogo sana basi wajipange..
Hela ndogo sana hii kwa Mzee Bakhresa may be kuna sehemu anabaniwa mchongoDSTV analipa zaidi ya $10M (2015) kwa mwaka na ana exclusivity rights kuonyesha EPL, Champion League na ligi zingine za football kwa east and Central Africa.
Ni heri sehemu ya uhakika utajibana tu imagine unalipia DSTV huoni timu yako ya Taifa ikicheza then huoni hata Simba na Yanga wakicheza na bei zao ni ghali sasa kingamuzi ni nini?sema wanaringa wakijiona EPL na Champions league wameishika waoIla gharama za vifurushi zitapanda sana kama akiamua kuwekeza kwenye epl na uefa sasa kifurushi kikubwa anauza elfu 30+ akiweka hayo mashindano makubwa bei inaweza kufika 90+