DSM; Viijana 230 kuhamia CDM kesho

Kwa DSM ningewashauri CDM wasipoteze muda wao,hapa hamna ngangali wote watoto wa mama,kijana mwenyewe ndio yule anaevaa suruali matakoni?,huu mji hauna historia kama miji dume ya Arusha, Mbeya na Mwanza, kwanza vijana wenyewe si wapiga kura siku ya kupiga kura wao wana declare holiday vinalewa asubuhi wenzao wamepanga foleni ya kura wao wamepanga foleni ya supu
 
Hongera CCM kwa kuendelea kuwafanya hata wale waliokuwa na roho ngumu, hatimaye roho zitayeyuka na kujiunga na wapenda mageuzi. Binafsi namna CCM wanavyoshughulikia haya mambo kwani hii ni njia nzuri ya kuendelea kujimaliza, na CDM endeleeni kuchanga karata zenu vema nchi mwaweza kuichukua kirahisi. Heche una kazi kubwa Dar, lakini kazi kamba Mungu yuko pamoja nawe.
 
Entrepreneur;3766691]Unadhani wanaweza wakatupisha kama hatujaenda hapo. Mgeni hafunguliwi Mlango mpaka agonge[/QUOTE]

Umma ukihamua hawawezi kupinga. Huku Ruvuma tunachochea moyo wa mageuzi. Kitaeleweka tu!
 
kisiasa kujuuzuru kwa Mawaziri waliobainishwa kulikuwa na tija ccm ila hivi walivyofanya wanaifanya vyama vya upinzani kujijenga na ccm kuzidi kupolomoka

Wao wanasema ni upepo tu utapita. Watanzania watasahau hayo makelele ya upinzani. kutokana na kulewa madaraka ndiyo wanavyoamini.
 
Wakati tukiendelea na mikakati hii,wana jf tusimwachie lema na slaa peke yao nna hakika humu wengine kadi za kupigia kura hawana wao au familia zao.2015 sio mbali kabisa tujipange kumuua nyani tena tukimuangalia usoni.

Tanganyika bila ccm inawezekana kabisa!!!!!!!
 
Makamanda msife moyo, "a Boer can not commit suicide" kupitia impunity hii wanayouonyesha umma wa Watanzania CDM itapaaa zaidi.
 
Strategically CDM wanaonyesha ni chama makini sana,
hawabahatishi katika ahadi zao za kuwatumikia Taifa.
Wanakaribishwa sana,
 
Ukiniuliza mimi nimefurai sana kwa jana Pinda na CCM yake kupata kigugumizi kuhusu mawaziri kutowajibika ni vizuri sana maana mbele ya umma serkali inazidi kuonekana ni ya ovyo na hivyo kuongeza hasira dhidi ya CCM na serikali. A blunder after blunder is a blessing in disguise for the opposition and this is the time to capitalize on. Walisema wanavua magamba wakagwaya! Wamesema tumefanya maamuzi magumu tutatangaza wamegwaya! Ni opportunity ilioje.
 
paisi wetu anatufanyia makusudi hivyo basi wananchi kwasasa tunayo haki na sababu ya kumfanyia makusudi raisi wetu na atatuelewa
 
kisiasa kujuuzuru kwa Mawaziri waliobainishwa kulikuwa na tija ccm ila hivi walivyofanya wanaifanya vyama vya upinzani kujijenga na ccm kuzidi kupolomoka

Wenye hekima wanasema "kufa kwa nyani miti yote huteleza" Historia inaonesha mara zote vyama tawala vinapokaribia kufa, hufanya makosa mengi ya kiufundi ambayo wao hufikiri ndio wanapatia, fuatilia vizuri kabla ya kifo cha KANU nini kilitokea! haya makosa ambayo CCM wanayafanya ndo yanawapeleka kaburini. Ingekuwa heri kwao kama mawaziri wangejiuzuru, hii ingempa Nape nguvu zaidi ya kuongea na kusema ndo wanazidi kuwang'oa mafisadi taratibu, hii inge-sound kidogo kwa wananchi, kuliko hii ya kuanza uchunguzi mpya ambapo inaonesha waziri Mkuu hamwamini NA haamini uchuguzi na ripoti iliyotolewa na Mkaguzi mkuu wa Serikali!
 
CDM ni waongo hadi muda huu hakuna vijana waliojiunga na chama kutoka dsm, mwenyekiti wa bavicha kapata wakati mgumu
 
Wenye hekima wanasema "kufa kwa nyani miti yote huteleza" Historia inaonesha mara zote vyama tawala vinapokaribia kufa, hufanya makosa mengi ya kiufundi ambayo wao hufikiri ndio wanapatia, fuatilia vizuri kabla ya kifo cha KANU nini kilitokea! haya makosa ambayo CCM wanayafanya ndo yanawapeleka kaburini. Ingekuwa heri kwao kama mawaziri wangejiuzuru, hii ingempa Nape nguvu zaidi ya kuongea na kusema ndo wanazidi kuwang'oa mafisadi taratibu, hii inge-sound kidogo kwa wananchi, kuliko hii ya kuanza uchunguzi mpya ambapo inaonesha waziri Mkuu hamwamini NA haamini uchuguzi na ripoti iliyotolewa na Mkaguzi mkuu wa Serikali!

CAG katoa mapendekezo ni juu ya serikali yako uliyoiweka madarakani kukaa chini kupitia vipengele vyote ikibidi kufuatiwa na kupelekana mahakamani. Serikali makini haikurupuki kufikia maamuzi pasipo kufanya unyambulifu
 
John Heche


Unafiki wa wabunge wa ccm umedhihirika leo waliongea kwa hisia za kinafiki na kujifanya wanapenda nchii kumbe wanapenda matumbo yao na chama chao, hakuna aliejiuzulu sisi tutakwenda kwenye mahakama ya umma na watakutana na hasira za wananchi huko, hatutavumilia dharau hizi






John Heche


Tunawashukuru vijana ambao wameamua kutoka ccm na kujiunga na jeshi la ukombozi kwa ajili ya kupigania haki na usawa katika nchi yetu, kesho tutapokea vijana 230 kutoka katika matawi na kata mbalimbali za Dar es salaam baada ya kuchoshwa na porojo za ndani ya chama chao, hakuna kulala mpaka kieleweke.

source FB Heche wall paper




Hii inaitwa twanga kote kote

Sidhani kama uhamasijaji umefanyika vyakutosha maana ni wengi wanaotaka kuhamia, huku ninako kaa kuna mamia wanaulizia kadi za chama cha ukweli.

Nadhani viongozi wetu watafute nama ya kusambaza kadi za chama na kuzipeleka karibu na wananchi. Pia vazi rasmi la ukombozi linahitajika sana kwa watoto na watu wazima ili kukiongezea chama mapato.
 
Heche,
Mbona unaongea uwongo mweupe unasema kesho mnapokea vijana 230...labda nikuulize umejuaje hiyo idadi wakati hata bado hawajajiunga?
 
CAG katoa mapendekezo ni juu ya serikali yako uliyoiweka madarakani kukaa chini kupitia vipengele vyote ikibidi kufuatiwa na kupelekana mahakamani. Serikali makini haikurupuki kufikia maamuzi pasipo kufanya unyambulifu

Si bure wewe una kichocho. Mara ngapi serikali legelege inarudia?
319813_10150823416927387_673232386_12280169_997406907_n.jpg wewe si bure, umehusika kula hela yetu pia.
 
Back
Top Bottom