DSM; Viijana 230 kuhamia CDM kesho

DSM; Viijana 230 kuhamia CDM kesho

Kichwa Ngumu

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
1,726
Reaction score
314
John Heche


Unafiki wa wabunge wa ccm umedhihirika leo waliongea kwa hisia za kinafiki na kujifanya wanapenda nchii kumbe wanapenda matumbo yao na chama chao, hakuna aliejiuzulu sisi tutakwenda kwenye mahakama ya umma na watakutana na hasira za wananchi huko, hatutavumilia dharau hizi






John Heche


Tunawashukuru vijana ambao wameamua kutoka ccm na kujiunga na jeshi la ukombozi kwa ajili ya kupigania haki na usawa katika nchi yetu, kesho tutapokea vijana 230 kutoka katika matawi na kata mbalimbali za Dar es salaam baada ya kuchoshwa na porojo za ndani ya chama chao, hakuna kulala mpaka kieleweke.

source FB Heche wall paper




Hii inaitwa twanga kote kote
 
viva CDM ila sijiu kwanini ilipofika tu saa mbili wakati naangalia bunge nimepatwa na kichefu chefu cha ajabu na hasira kali kwa ccm?

pole sana tedo; kuna signature moja ya JF member inasema Stress=expectation/output binafsi huwa naongeza
Expectation/output but when the results is greater than one
nadhani ndicho kilicho kukuta matarajio yalikuwa makubwa kuliko matokeo
 
hakuna kulala had kieleweke
 
Kwa kweli nimeamini kuwa CCM wote ni familia ya mapanya, wote ni wezi. Hakuna wa kumukamata mwingine!
 
Hitimisho la bunge limeacha ladha ya ukakasi kwa mamilioni ya Watanzania. Limezaa majonzi na hasira kali ambayo watawala hawajui tu.

Lakini hizi habari za CDM kuendelea kujijenga sambamba na elimu kwa umma(kwa upande mmoja); na ubomoaji wa ccm kila kona (kwa upande mwingine) ndio faraja kwa jioni hii.

Asante makamanda
 
CHADEMA wanaendelea na MSAKO

Endeleeni kuwavuna waje kwa wingi sana.
Mtu akijitokeza na kujigamba kwa ni mwana CCM atakuwa na roho ngumu sana.
 
pole sana tedo; kuna signature moja ya JF member inasema Stress=expectation/output binafsi huwa naongeza
Expectation/output but when the results is greater than one
nadhani ndicho kilicho kukuta matarajio yalikuwa makubwa kuliko matokeo

ahsante! nakunywa wine hapa ilinijiliwaze lakini naona kama nataka kwenda kuitapika. siku imeharibika kweli.
 
... itakua ni kosa kubwa ajabu IKULU kudhani kumnyanganya Kamanda Lema ubunge kupitia mahakama huenda ikawa ni suluhisho.

Kamanda Lema endelea kuonyesha TALANTA yako ya kupendwa na vijana wa Tanzania kwa kuhamisha Vijiji vyote nchini toka CCM na kujiunga na CDM.

Kamanda Lema, onyesha UWEZO wa 'Nguvu ya Umma' kote nchini kupitia hiki chombo mahiri cha M4C huku ukiambatana na Jenerali na Dokta wa ukweli, Dr Slaa, kwa kutetemesha mafisadi katika kila jimbo.

umefika wakati watupishe magogoni.
 
Hitimisho la bunge limeacha ladha ya ukakasi kwa mamilioni ya Watanzania. Limezaa majonzi na hasira kali ambayo watawala hawajui tu.

Lakini hizi habari za CDM kuendelea kujijenga sambamba na elimu kwa umma(kwa upande mmoja); na ubomoaji wa ccm kila kona (kwa upande mwingine) ndio faraja kwa jioni hii.

Asante makamanda

Ina fariji fariji lakini siyo sana.
 
John Heche


Unafiki wa wabunge wa ccm umedhihirika leo waliongea kwa hisia za kinafiki na kujifanya wanapenda nchii kumbe wanapenda matumbo yao na chama chao, hakuna aliejiuzulu sisi tutakwenda kwenye mahakama ya umma na watakutana na hasira za wananchi huko, hatutavumilia dharau hizi






John Heche


Tunawashukuru vijana ambao wameamua kutoka ccm na kujiunga na jeshi la ukombozi kwa ajili ya kupigania haki na usawa katika nchi yetu, kesho tutapokea vijana 230 kutoka katika matawi na kata mbalimbali za Dar es salaam baada ya kuchoshwa na porojo za ndani ya chama chao, hakuna kulala mpaka kieleweke.

source FB Heche wall paper




Hii inaitwa twanga kote kote

Safi sana askari wa ukombozi wa kweli.Fanyeni utaratibu wa kusambaa hadi vivijini kuwaelimisheni wananchi wajue kwanini tanzania ni maskini chini ya utawala wa ccm na namna serikali inavyobabaisha katika kusimamia mali za umma
 
Hitimisho la bunge limeacha ladha ya ukakasi kwa mamilioni ya Watanzania. Limezaa majonzi na hasira kali ambayo watawala hawajui tu.

Lakini hizi habari za CDM kuendelea kujijenga sambamba na elimu kwa umma(kwa upande mmoja); na ubomoaji wa ccm kila kona (kwa upande mwingine) ndio faraja kwa jioni hii.

Asante makamanda

kisiasa kujuuzuru kwa Mawaziri waliobainishwa kulikuwa na tija ccm ila hivi walivyofanya wanaifanya vyama vya upinzani kujijenga na ccm kuzidi kupolomoka
 
Back
Top Bottom