kanyagio
JF-Expert Member
- Dec 10, 2009
- 1,021
- 365
Habari,
Anatafutwa driver wa kuendesha gari IST kama uber na Taxify. Mmiliki wa gari yupo Tegeta:
1). Driver awe na leseni halali
2) anaweza kuwa mwanamke au mwanamke
3). Awe anaishi maeneo ya mbezi beach, Tegeta, Kunduchi, Salasala, Madale, wazo, Boko, Mbweni, Bunju na maeneo mengine ta uelekeo huu. Hii ni kwa sababu gari lazima ilazwe kwa mwenye gari
4). Awe na police report. Kama huna tutasaidiana kutafuta
Malipo ni maelewano
Aliye tayari anaweza kuwasiliana na mimi inbox au tuma email nat867@gmail.com
Anatafutwa driver wa kuendesha gari IST kama uber na Taxify. Mmiliki wa gari yupo Tegeta:
1). Driver awe na leseni halali
2) anaweza kuwa mwanamke au mwanamke
3). Awe anaishi maeneo ya mbezi beach, Tegeta, Kunduchi, Salasala, Madale, wazo, Boko, Mbweni, Bunju na maeneo mengine ta uelekeo huu. Hii ni kwa sababu gari lazima ilazwe kwa mwenye gari
4). Awe na police report. Kama huna tutasaidiana kutafuta
Malipo ni maelewano
Aliye tayari anaweza kuwasiliana na mimi inbox au tuma email nat867@gmail.com