Drip irrigation pipes bei sawa na bure

Drip irrigation pipes bei sawa na bure

saimon111

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2012
Posts
1,736
Reaction score
1,357
Kwa wale tunaopenda kilimo cha kisasa hizi bidhaa zinawafaa sana ni drip pipes, connectors pamoja na tanks za kuwekea mbolea.....

Drip pipes kwa mita 1 ni Tsh 650/=
Connector 1pc ni Tsh 500/=
Tanks za kuwekea mbolea 1pc ni Tsh 145,000/=
Usafiri ni free popote kwa Tanzania kama utachukua kuanzia mita 1000.
Kama utahitaji na ufundi tutaelewana pia

Vifaa vyote hivyo ni vipya kabisa.

Contact 0625640867
Au uje PM

1476247544412.jpg
1476247552495.jpg
1476247571375.jpg
1476247589725.jpg
1476247643775.jpg
1476247673355.jpg
 
Vifaa gani nitakavyohitaji kwa heka ya vitunguu
Kuna mipira, connector, ndio kwa upAnde wangu ntakupa.... Hila vingine kama tank na mabomba utachukua maduka ya kawaida
 
Back
Top Bottom