Drip Irrigation How to--

newmzalendo

JF-Expert Member
Mar 23, 2009
1,378
550
ninataka kuanza kilimo kwa kutumia Drip irrigation,Kenya wamefanikiwa kwa mfumo huu.Nahitaji msaada wapi naweza pata vifaa vya huu mfumo na jinsi ya kufanya installation ktk bustani ya ekari
 
ninataka kuanza kilimo kwa kutumia Drip irrigation,Kenya wamefanikiwa kwa mfumo huu.Nahitaji msaada wapi naweza pata vifaa vya huu mfumo na jinsi ya kufanya installation ktk bustani ya ekari
<br />
<br />
Dar/Balto Dar-es-saalam

Mikocheni Light Industrial Area 23

coca cola Rd

Arusha

Balton Arusha

Sakina-Azimio Nairobi Rd

Mfumo mzuri wa kunyunyiza maji hasa sehemu maji ni hadimu. Vifaa vinavohitajika kwa kiwango kikubwa inategemea aina ya mimea utakaza(tree crop au row crops)

Pata ushauri zaidi wa vifaa(mains,laterals,pumps,source au line drippers,filters etc)kwa bwana shamba au irrigation department wilaya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom