Huyuuu anatofauti na hao. coz huyu anajifanya kumponda makinda then bar wana dance wote. Anakwambia siasa haina uadui.
Hawa vijana wanafanya siasa ya ukweli. Kama mtu wanamchukia kweliii! Kama mwizi ni mwizi kwenye kamera na hata bar!
Asingependeza
Huyuuu anatofauti na hao. coz huyu anajifanya kumponda makinda then bar wana dance wote. Anakwambia siasa haina uadui.
Hawa vijana wanafanya siasa ya ukweli. Kama mtu wanamchukia kweliii! Kama mwizi ni mwizi kwenye kamera na hata bar!
Asingependeza
Bwana Harusi David Kafulila wa pili kushoto akiwa na msimamizi wa ndoa yake Deo Filikunjombe wa kwanza kushoto na marafiki zake David Silinde wa kwanza kulia na Zitto Kabwe wa pili kulia. Mia
pongezi kafu na kila la kheri..hakika mnapendeza vijana. ila hakuna muda kupumzika
kateni mzizi iptl in such way inakua mwisho. ie taifisha mtambo filisi wezi funga jela wezi.
Daaah! Kauli hizi hukaribisha maadui na wafitini, ndo mwanzo wa kuchepuka, hata kama umeniloga kwa nia njema, hapa mtima unadunda tuuh tuuh na maumivu nywiiii